Aisee, kwa hizo kilo fanya juu chini zishuke mkuu, kwa urefu wako inatakiwa ziwe 75 ukizidi sana 80.so uko over obesity.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepunguza kilo 12 kwa mda ganiHiyo ni diet nzuri sana na unapungua vyema huku ukipata vitamini za kutosha. Nimepunguza kilo 12 kwa kufanya hivyo.
Ila mimi ni mpenzi wa nyama sana so huwa napata na mshikaki 1 au 2 na sometime kipande cha kuku kwa mchana..
Ratiba huwa hivi.
1. Asubuhi chai ya rangi au mchaichai au tangawizi na iliki nashushia na slace 4 na brown bread au mihogo.
2. Mchana matunda mchanganyiko na nyama mishikaki miwili au robo kuku.
3. Usiku matunda tupu.
4. Asubuhi naamka saa 11 mazoezi then kazini...
Ratiba hii ni kwa jumatatu to ijumaa weekend ni mwendo wa gambe tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naonaga wengine wanatengeneza juice ya tangawizi+asali kdg ,wanakunywa kila siku absbh..Wanasema inakata mafuta...Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo
Matunda yana sukari nyingi tuu; unawezafanya hivyo na usipungue.Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
na mimi naomba ushauri,nile nini ili niongezeke kilo..kilo zangu zinarange 38-42 ..na last month nilikuwa na 39una uzito kilo ngapi mkuu, na urefu wako ni sentimita ngapi? nataka nikushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uzito wako nikilo ngapUshaur wako nitaufanyia kazi mkuu.... najitahid sana pia mazoe kwa sana maana uzito mkubwa nasikia sio mzuri kitaalam
Matunda hayana virutubisho vya kutosha mwilini. Cha msingi kula matunda kwa wingi na chakula kidogo. Siri kubwa ya kupungua uzito ni kupunguza vyakula vya wanga na mafuta, ila sio kuviacha kabisa. Utadhoofika badala ya kupungua.Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
Wanafunga au wanabadili ratiba ya muda wa kula? Watu wanaanza kula saa 12 jioni mpaka saa nane usiku huko ni kufunga kweli. Nawaamini wale wanaokunywa uji saa moja na mlo saa nne halafu mpaka kesho yake.Hakuna shida yoyote, mbona mwezi wa Ramadhani watu wanafunga mwez na wapo fresh tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naonaga wengine wanatengeneza juice ya tangawizi+asali kdg ,wanakunywa kila siku absbh..Wanasema inakata mafuta...
Matunda yana sukari nyingi tuu; unawezafanya hivyo na usipungue.
Jaribu kuacha kabisa vyakula vya wanga na sukari na badala yake piga menu ya mboga mboga na nyama nyama tuu
na mimi naomba ushauri,nile nini ili niongezeke kilo..kilo zangu zinarange 38-42 ..na last month nilikuwa na 39
urefu 150 cm
umri 26
Matunda hayana virutubisho vya kutosha mwilini. Cha msingi kula matunda kwa wingi na chakula kidogo. Siri kubwa ya kupungua uzito ni kupunguza vyakula vya wanga na mafuta, ila sio kuviacha kabisa. Utadhoofika badala ya kupungua.
Hiyo ni diet nzuri sana na unapungua vyema huku ukipata vitamini za kutosha. Nimepunguza kilo 12 kwa kufanya hivyo.
Ila mimi ni mpenzi wa nyama sana so huwa napata na mshikaki 1 au 2 na sometime kipande cha kuku kwa mchana..
Ratiba huwa hivi.
1. Asubuhi chai ya rangi au mchaichai au tangawizi na iliki nashushia na slace 4 na brown bread au mihogo.
2. Mchana matunda mchanganyiko na nyama mishikaki miwili au robo kuku.
3. Usiku matunda tupu.
4. Asubuhi naamka saa 11 mazoezi then kazini...
Ratiba hii ni kwa jumatatu to ijumaa weekend ni mwendo wa gambe tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
yes..limao linapunguza ukali watangawiziMhhhh itabid nifanyie utafiti hili mkuu alaf nione ikibid nifnye hilo zoez maana dah ni shida kwakwel aseeee uzito nilionao had najiogopa japo nasikia ktk huo mchanganyiko wako na limao linahitajika au lah?!!!
mmm.basi wale wenye hali nzuri kimaisha ndio wanaweza ongezeka kilo zaid..hivyi vyakula mbona kama vya watu wa high class[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1426]mkuu usiombe kuongezeka kg utakuja hapa bdae kuomba kushuka km sie.... ila ukitala uzito uongezeke mara dufu we piga kitu cha lost ya futa la korie daily nyama nyama kwa sana alaf usikose chai kila uamko na ulalapo af fanya vizoez uchwara tuuu huk unapiga burgers [emoji488] eggs chops kwa sana hahahaha mwez tu nakupa utakua tipwa tipwa kg za kutupwaaa
yes..limao linapunguza ukali watangawizi
mmm.basi wale wenye hali nzuri kimaisha ndio wanaweza ongezeka kilo zaid..hivyi vyakula mbona kama vya watu wa high class
mi staki niwe tibwatibwa,yani nataka niongezeke angalau kg 50..Mkuu ukiona kimwili nilichonacho hutaamini kama huyu ni mama