Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Mwanaume kujinenepea hovyo ni dalili za uzembe.Hello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
Kula hovyo hovyo bila kufanya kazi
Kushinda umekaa ndani tu kama furusi la unga
Kutokufanya mazoezi na mapenzi
Kufakamia pombe hovyo hovyo hasa za ofa
Kula mavyakula ya mafuta mengi bila hata kinyaa.
Kulala lala mchana kama una mimba
Bila shaka utakuwa na tabia hizo hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app