Kuna Baa za kishamba sana wanagawa tishu Moja mara mbili sijui wachawi

Kuna Baa za kishamba sana wanagawa tishu Moja mara mbili sijui wachawi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Kuna Baa zinaendeahwa kishamba sana sijui wachawi, wanazikata tishu Moja vipande viwili sijui wanatumwa na mapepo ya kichawi.

Zinakera hizo Baa natamani kuwatukana naishia kuzikataa hizo tishu za kichawi.

Ukinawa baada ya kula msosi ukipewa hako katishu daah aibu kama unanawa uchafu
 
Wanawake walevi wakienda kukojoa wanasomba.

Kwa sababu kwanza, hawataki kushika maji kusafisha nyuchi zao. Pili, mazingira ya vyoo vya walevi vina ualakini.

Tatu, wanalewa full. Sasa kuchuchumaa muda mrefu ataangukia chooni.
 
Wanawake walevi wakienda kukojoa wanasomba.

Kwa sababu kwanza, hawataki kushika maji kusafisha nyuchi zao. Pili, mazingira ya vyoo vya walevi vina ualakini.

Tatu, wanalewa full. Sasa kuchuchumaa muda mrefu ataangukia chooni.
Hii study mkuu umeipublish?
 
Wanawake walevi wakienda kukojoa wanasomba.

Kwa sababu kwanza, hawataki kushika maji kusafisha nyuchi zao. Pili, mazingira ya vyoo vya walevi vina ualakini.

Tatu, wanalewa full. Sasa kuchuchumaa muda mrefu ataangukia chooni.
The lesson why
wanapunguza ghalama za kununua tishu

Nadhani bwana mtoa mda atakuwa amepata muongozo
 
Back
Top Bottom