Kuna baadhi ya WanaJF wana majina ya ajabu na ya kufikirisha sana

Kuna baadhi ya WanaJF wana majina ya ajabu na ya kufikirisha sana

Aisee kenge kaingiaje apo..
Enewei kuna jamaa anajiita Kichwa kichafu kweli ni kichafu kuna uzi anasimulia alivyombandua ndugu yake wa damu kila nikimfikiria simmalizagi.

Mwingine Maharage ya Ukweni wengine ni Afisa uroda,Afisa ubashiri,Afisa usafirishaji..apo bado kuna Chama wa njombe , Aziz Ki wa bonyokwa aafu kuna mwamba anajiita Babaake moderator

Afisa uroda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Habari wanajf

The fact kwamba jf watu wengi ni anonymous, inawafanya wanatumia majina ya ajabu sana.

Kuna majina jf ukiyasoma unaweza cheka, kushangaa au kufikiria sana,

Pongezi kwa wanajf wanaotumia majina yao mawili kama Lukas Mwashambwa leo tuwatag watu wenye majina ya ajabu humu watupe ufafanuzi kidogo mfano.

labia majora
KENGE 01
AKILI TATU
Panzi Mbishi
Nzi Chuma
MFALME WETU
Kijakazi
3 Angels message
Kitimoto
kina kirefu
mdudu
Nilivosoma hii thread jina la kwanza ni hilo namba moja
 
Back
Top Bottom