Kuna benki kadhaa hap nchini imekuwa ni kama utamaduni / mazoea mtu kukalishwa muda mrefu mpala lisaa unasubiri kuweka / kutoa pesa.
Ni kweli mawakala wapo lakini kuna sababu zinatulazimu kwenda bank, mawakala wengi huwezi kuingiza au kutoa zaidi ya milioni 1.
Unaingia Benki, unatoa kikaratasi chako cha kupanga foleni uhudumiwe, Hapo utasugua benchi muda mrefu sana.
Mbaya zaidi kuna madirisha manne lakini ni dirisha moja tu la kuhudumiwa,
Ukienda kuweka zaidi ya milioni 10 mambo ni yaleyale, utaambiwa uende chumba maalum cha bulk lakini kama kuna watu waliokutangulia utasubiri sana.
Nahitaji kuhamia bank yenye huduma za fasta
Ni kweli mawakala wapo lakini kuna sababu zinatulazimu kwenda bank, mawakala wengi huwezi kuingiza au kutoa zaidi ya milioni 1.
Unaingia Benki, unatoa kikaratasi chako cha kupanga foleni uhudumiwe, Hapo utasugua benchi muda mrefu sana.
Mbaya zaidi kuna madirisha manne lakini ni dirisha moja tu la kuhudumiwa,
Ukienda kuweka zaidi ya milioni 10 mambo ni yaleyale, utaambiwa uende chumba maalum cha bulk lakini kama kuna watu waliokutangulia utasubiri sana.
Nahitaji kuhamia bank yenye huduma za fasta