Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Sanaaaa kwa begginers na wasiopenda vitu vikali.Hiyo kitu ina kitu cha maana kwel?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaaa kwa begginers na wasiopenda vitu vikali.Hiyo kitu ina kitu cha maana kwel?
Hiyo kwangu ni maji sasa .Sanaaaa kwa begginers na wasiopenda vitu vikali.
Kwaio hata zile za kienyeji anakunywa COMMON☺️😊kwamba wanya pombe wanatoa harufu mbaya?
pombe haijawahi kua na harufu mbaya kwa mnywa pombe ispokua kwa asie kunywa ni kero gentleman...
hata hivyo,
kunywa spirit au impotred beer pekee, maana yake umeona vinywaji vingine havikupi burudani au unafanya hivyo kwa sababu za kiafya, prestige au ushauri wa kitabibu.
vinginevyo mlevi hachagui pombe.
Dr kuwa makini na pombe zinazotengenezwa na sisi wamatumbi hasa hizi kali.Kwaio hata zile za kienyeji anakunywa COMMON☺️😊
Kuna pombe za ndizi zinaitwa banana zinauzwa Bei ya soda Ila kutokana na ndizi zinavyo zidi kukaa na alcohol persistence inazidi kuongezeka yaani UNAWEZA UKANYWA LEO JIONI UKAAMKA UMELEWA SIKU NZIMA.
Ina 6%Hiyo kwangu ni maji sasa .
SIYO SIFA ZA KIJINGA, NI PROVEN BY SCIENCE, Here are the recommended drink limits: One standard drink is equivalent to: Female: No more than 1 drink in a single day and no more than 7 drinks per week. Male: No more than 2 drinks in a single day and no more than 14 drinks per week(WHO et al), why the difference between gender?- The liver weighs 1200 to 1400 g in the adult woman and 1400 to 1500 g in the adult man. Most of the ethanol in the body is broken down in the liver by an enzyme called alcohol dehydrogenase (ADH)ndiyo maana wanaume hufa mapema, sifa za kijinga. Figo, ini na moyo wa mwanaume uko sawa tu na vya mwanamke
Wapo wanao jua alcohol persistence level..Dah ni zaidi ya hatari kunywa pombe kwa kiwango chochote huku unaendesha mkuu.
Gotch fam bro.Ina 6%
Dah mnabeti sana maisha bro😆Wapo wanao jua alcohol persistence level..
Mfano Mimi huwa najua level yangu ikifika siwezi ongezea ni principal
Sinywi hizooDr kuwa makini na pombe zinazotengenezwa na sisi wamatumbi hasa hizi kali.
Drink up broSinywi hizoo
Kunywa kiasi..Kuna jamaa akilewa anageuka kutoa ahadi za pesa , connection za kazi 😀☺️😊 kesho akikumbushwa hakumbuki kitu yaan mtuDah mnabeti sana maisha bro😆
6% Sita Ina zidi mpaka safari/ Serengeti/ pilsner/ balimi e.t.cIna 6%
Ile bia unalewa bila kukunja sura.6% Sita Ina zidi mpaka safari/ Serengeti/ pilsner/ balimi e.t.c
Hii red label au?
Ina 6%
😊☺️ Mimi pia sipendelei mavitu machungu.Ile bia unalewa bila kukunja sura.
Hilo ni kawaida sana kwa sisi walevi ila tunachukuliana tu bwasheeKunywa kiasi..Kuna jamaa akilewa anageuka kutoa ahadi za pesa , connection za kazi 😀☺️😊 kesho akikumbushwa hakumbuki kitu yaan mtu
Anakunywa mpaka anasahau mlango,kujikojolea, kutapika, anasahau kafikaje nyumbani au hakumbuki Mara ya mwisho alikua wapi na nani