To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🙌Hamu ya kuliwa shimoni ? Hizo zinasababisha muwasho kwenye mashimo mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🙌Hamu ya kuliwa shimoni ? Hizo zinasababisha muwasho kwenye mashimo mama
Pepsi n tamu lkn fanta n balaa!!!Wanaume ndio wanaoongoza kunywa Pepsi!
Kwani haujawahi kusikia au kusoma bidhaa imeandikwa 'for men' au 'for women' au 'unisex'?Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Kumbe☺️Bingwa
Bingwa zipo mbona ziko sokoni,zimerudi aisee,huku kwenye baa za mwanza huwa naziona
Haaahaa 😊 jamaa unafanya technology kubwaaa.. natural beer🍺Huku mwanza kuna banana za pawa na ndume a.k.a myumbo wa kutosha, kuna jamaa yangu ni mwanajeshi tabora msange huwa namtumia yaani nanunua kreti kama nne za pawa afu nafungua chupa zote na kisha nazimimina kwenye chupa la maji la Kilimanjaro yale ya litre 18 kisha namtumia kwenye basi.Anasema banana pawa ni nzuri sana maana zinalewesha haraka na hazina hangover na zaidi haziathiri figo na maini.MAUA YAO WAPEWE WAZALISHAJI WA BANANA ZA PAWA NA NDUME ZA MWANZA
Tukusogezee utuanzishie ulewe haraka na wewe kama unatujali sana🙂Si ndo nzuri Sasa jmn mnalewa haraka😀
Numbero uno!!Safari lager beer ya kiume
🤣🤣🤣Mm natumia juis tu nimewakadiria nyieTukusogezee utuanzishie ulewe haraka na wewe kama unatujali sana🙂
MhhhhSasa kidume utakunywaje Savana, flying fish na reds
Wakati unajua hizo bia zinaongeza nyege na muwasho Kwa mademu.
Mtakuja mfanyiwe vibaya
Nina bia zako nyingi zinawaongea washa washa Kunako🤣Mhhhh