Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Desparate na pussy🤣Hasa dume zima unakunywa desparado upo desparate na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Desparate na pussy🤣Hasa dume zima unakunywa desparado upo desparate na nini?
Konyagi imeandikwa changanya na limao ndiyo maaana matatizo ya figo hayaishi.Mwanaume hauruhusiwi kupenda vitu vitamu? Mbona konyagi wengi wanachanganya na soda?
Ni kama mwanamke kuagiza safari huyo ni mlevi concordKwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Huyo shogaKwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Desparate na pussy unapiga shots of blue sambuca lazima pussy iwake moto.Desparate na pussy🤣
Wengi wanaokunywa hizo wana tabia za kike kike.Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Hiyo bia ilikuwepo zamani ikapigwa marufuku na TBL.Kule Kanda ya kusini Kuna bia inaitwa bingwa,Ina alcohol 7,nadhani katika larger zote hii ndo ya kiume!!!
Yaan mkigoma una shida weweSasa kidume utakunywaje Savana, flying fish na reds
Wakati unajua hizo bia zinaongeza nyege na muwasho Kwa mademu.
Mtakuja mfanyiwe vibaya
Kuna the kickKule Kanda ya kusini Kuna bia inaitwa bingwa,Ina alcohol 7,nadhani katika larger zote hii ndo ya kiume!!!
Alafu anafungua kizibo kwa meno.Ni kama mwanamke kuagiza safari huyo ni mlevi concord
Kwanini?!!!Hiyo bia ilikuwepo zamani ikapigwa marufuku na TBL.
Ina alc ngapi?!!!Kuna the kick
Sijajua ila haizidi 5 Ile,mi huwa natumia safari,na nkiwa kusini huko napiga hiyo bingwa,tofauti na hapo nakuwa napiga kvant TU nachoma maini!!!Balimi ina alcohol ngapi?