Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Watu wanawezaje kunywa safari zaidi ya mbili na zile kubwa?. Anyway, hii Bora kuliko pombe Kali.
Kwa vijana siku hizi kunywa beers imekuwa kama kuchezea hela maana wanadai hata hawalewi na badala yake wamehamia kwenye pombe Kali, vijana wanaharibika kisa eti ili waonekane wanaume🤔
Kwa vijana siku hizi kunywa beers imekuwa kama kuchezea hela maana wanadai hata hawalewi na badala yake wamehamia kwenye pombe Kali, vijana wanaharibika kisa eti ili waonekane wanaume🤔