Kuna bia za kike na za kiume?

Watu wanawezaje kunywa safari zaidi ya mbili na zile kubwa?. Anyway, hii Bora kuliko pombe Kali.

Kwa vijana siku hizi kunywa beers imekuwa kama kuchezea hela maana wanadai hata hawalewi na badala yake wamehamia kwenye pombe Kali, vijana wanaharibika kisa eti ili waonekane wanaume🤔
 
Kaka kuna pombe kali zina viwango bora ukizingatia mlo maji ya kunywa na mazoezi pombe kali ni bora kiafya kuliko bia naona hivyo.
 
Sio kweli
 
Kunywa konyagi au double kicki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…