Ina 6.5 ila ile chuma inapanda kupita maelezoIna alc ngapi?!!!
Dah uzi umenifanya nimeanza kula vitu asee😁Zipo mkuu, kuna vitu wanaume hatuwezi kufanya ila wanawake wanafanya, kuitana dear, honey, darling..hawa watu wanaitana tena wazi. Jaribu wewe kidume kumuita mwenzako dear uone.
View attachment 3224882
Kaka kuna pombe kali zina viwango bora ukizingatia mlo maji ya kunywa na mazoezi pombe kali ni bora kiafya kuliko bia naona hivyo.Watu wanawezaje kunywa safari zaidi ya mbili na zile kubwa?. Anyway, hii Bora kuliko pombe Kali.
Kwa vijana siku hizi kunywa beers imekuwa kama kuchezea hela maana wanadai hata hawalewi na badala yake wamehamia kwenye pombe Kali, vijana wanaharibika kisa eti ili waonekane
Sio kweliHiyo ni mitazamo tu kwa sababu bia zote za light kwa sababu zina kilevi kidogo na laini zinachukuliwa ni za kike.
Na zile zenye kilevi kikubwa na nzito lagers zinachukuliwa ni za kiume .
Ila mtu yeyote anaweza tumia bia yoyote tu kulingana na matakwa yake.
Haina shida mbona , mimi wine naichanganya na pombe kali kidogo mbona mswano tu.Eti mwanaume anakunywa wine daaah.....
Sijui hata huwa anajisikiaje, make ke akinywa wine kuna namba unaskia clit ina blink blink
Ila wine inafanya clitoris kublink blink sa we ukiinywa unajisikiajeHaina shida mbona , mimi wine naichanganya na pombe kali kidogo mbona mswano tu.
Smirnoff black ice ipo kundi ganiSasa kidume utakunywaje Savana, flying fish na reds
Wakati unajua hizo bia zinaongeza nyege na muwasho Kwa mademu.
Mtakuja mfanyiwe vibaya
nyanya chungu zinavutika kama manati.Ila wine inafanya clitoris kublink blink sa we ukiinywa unajisikiaje
Kunywa konyagi au double kicki...Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Kaka siti ya mbele nilijua tu hutakosa.Smirnoff black ice ipo kundi gani
Ngoja niondoke kwenye hii thread nsijepata cha kusimulia kule kimasihara.nyanya chungu zinavutika kama manati.
No usiende hii thread inatuhitaji magwiji kama sisi broNgoja niondoke kwenye hii thread nsijepata cha kusimulia kule kimasihara.
Kaka siti ya mbele nilijua tu hutakosa.
Hata sisi tukinywa wine tunakuwa na ham ya kuwekana, wine iko poa sana!!Ila wine inafanya clitoris kublink blink sa we ukiinywa unajisikiaje
Dah sahivi uko wapiHata sisi tukinywa wine tunakuwa na ham ya kuwekana, wine iko poa sana!!
Nimetoka kitengo nimechoka kinouma nakutana na uzi kama huu , ukanishawishi daaah