bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
kule ambapo wanawake wanavuka boda kwenda kenya kukidhi mahitaji ya mwili?Uchagan hizo wanaita juice za kuchanganyia na Kvant au Konyagi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kule ambapo wanawake wanavuka boda kwenda kenya kukidhi mahitaji ya mwili?Uchagan hizo wanaita juice za kuchanganyia na Kvant au Konyagi.
Kwa Nini mkuu, mfano bia Zina harufu mbaya..mchagua bia si mlevi gentleman 🐒
Hebu pitia hapa peacock namba 305 ghorofa ya 3Nipo makumbusho naelekea posta mkuu, nipigie🤣🤣
Jitu mwitu msitu, jitu la miraba minne rijali matataKwani evelyn ni bro ?!
Unapendelea kilevi Gani mrembo.Hebu pitia hapa peacock namba 305 ghorofa ya 3
Aisome min -meJitu mwitu msitu, jitu la miraba minne rijali matata
Maji ya afya bro 😁Unapendelea kilevi Gani mrembo.
Ndo navuna mahindi nipo dar unifirisi
Hapo hunipati🤣Maji ya afya bro 😁
Anko nikumbushe kinywaji chako pendwaHakuna ni ushamba tu wa wananzengo
Bahati mbaya lina kisimi🤣🤣Jitu mwitu msitu, jitu la miraba minne rijali matata
Mm natumia wine hayo mambo ya za kike ni hao watu wenye mfumo dume kunywa kile unapendaWine nazo si za kike zile au
Uko sahihiMm natumia wine hayo mambo ya za kike ni hao watu wenye mfumo dume kunywa kile unapenda
Kabisa ila watu na mitazamo tofautiUko sahihi
Wine haina shida na Kuna wine chungu kuzidi hata bia
Bia ya kiume ni Safari lagerKwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
Mnanywea Uswahilini bila shaka, Nakumbuka nilipokuwa sekondari ya Azania, Sisi watoto wa Tandika tulikuwa tunawacheka watoto wa kishua waliokuwa wanakula kiepe yai, huku tukijisifia kula mihogo na chachandu.Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!