Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mdogo angu kumbe wewe ni mdau ☺️😊Mm natumia wine hayo mambo ya za kike ni hao watu wenye mfumo dume kunywa kile unapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo angu kumbe wewe ni mdau ☺️😊Mm natumia wine hayo mambo ya za kike ni hao watu wenye mfumo dume kunywa kile unapenda
Hapana nakunywaga kusindikiza kampan tu na simalizi glass mojaMdogo angu kumbe wewe ni mdau ☺️😊
Wapo wanawake wanao kunywa magic moments 750mls peke yao na Wana drive safely home.Mwanamke akiwa anakunywa Safari lazima tumwangalie mara mbili mbili
Watakuambia mwanaume kunywa kila kitu isipokua sumu tu.Na sisi tunaokunywa wine kuepusha kitambi bia zinaleta kitambi acha
Kawaida uwe unakunywa responsible ni nzurii mbonaaHapana nakunywaga kusindikiza kampan tu na simalizi glass moja
Unazingua bro ,ustaarabu wa panzi mavi shingoni.Hapana nakunywaga kusindikiza kampan tu na simalizi glass moja
Mimi na kitambi Cha kuvalia suti na kuchomekea na sinywi bia Wala wine nakunywa spirit Ila namix na tonic water au juice kunywa dry siwezi ukichanganya na ukwaju pia unapata Radha nzuriiNa sisi tunaokunywa wine kuepusha kitambi bia zinaleta kitambi acha
Acha wafuge kitambiWatakuambia mwanaume kunywa kila kitu isipokua sumu tu.
Naiogop pombe na hapo na kunyw kwasababu mtu nilie fwatan nae atak unywe vitu vitamuvitamu tuKawaida uwe unakunywa responsible ni nzurii mbonaa
any LIGHT beer, is for women, minors, and beginner'sKwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!

Vitu ivyo vichungu ase pombe mm imenishindaga mda tangu chuoUnazingua bro ,ustaarabu wa panzi mavi shingoni.
Kijana kitambi ni kujitakia tu , mimi nagoga vitu ila ukiniona kama kagame😁Acha wafuge kitambi
Utakuwa mchoyo wa kutoa biaKijana kitambi ni kujitakia tu , mimi nagoga vitu ila ukiniona kama kagame😁
Wapo wanawake wanao kunywa magic moments 750mls peke yao na Wana drive safely home.
Dah!Wapo wanawake wanao kunywa magic moments 750mls peke yao na Wana drive safely home.
Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?
Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!