Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao akina sweetkendi na uniki wakafie mbele huko tayar mishangazi 😂😂😂
Shida ilianzia hapa...Sijasema mm mkuu angalia vizuri Aliyesema apo ni covid 19
hizi zikiandikwa kwa kiingereza zinachekesha😅CONTINUED...
Nimewaza nisitishe huduma kwao labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri...
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this..
Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated...
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.... .
Mkuu actually nina ndoto nae, nisijue yeye na sijachukua hatua japo niliwaza kumuomba outing....japo moyo wangu upo cross roads kingne sipo financially stable sasa nawaza what to do nitoke hapa crossroads..Ana utu na utulivu?
Una ndoto naye je yeye ana ndoto na wewe?
Subiri awe na hela then uone kama wewe ni boy dream wake...
Mkuu haujasoma uzi wangu vzur sijamuhudumia hata kdogo na nimesema sijachukua hatua yoyote kumuelekea na kuhus wazaz haujui kinachoendelea... ni mambo ya aibu ambayo hata siwez kuweka hapa.. kama familia yenu mko sawa shukuru Mungu.Shida ilianzia hapa...
Nini kitatokea nikiamua kujiweka mbali sana na wazazi wangu
Wakuu, natumai hamjambo, poleni kwa wanaopitia changamoto, Mungu awafanyie wepesi. Nisingependa kuandika mengi, naomba kujuzwa ni kipi kitatokea nikiamua kujiweka mbali sana na wazazi wangu angalau kwa muda ili nifocus kwenye mambo yangu, kwa sababu nimekuja kurealize they are TOXIC. Sitasema...www.jamiiforums.com
Badala awahudumie wazazi anahudumia mwanamke
....
UsitushUghulishe...sawa....?
Kafie mbele
Mkuu I appreciate this..hizi zikiandikwa kwa kiingereza zinachekesha
jilipue tu, hata mkija kuachana ni bora kuliko kumtamani hivyo, unateseka zaidi
halafu hata akikukataa utapata amani, utatulia
kwa lugha yako wanasema 'can't blame a guy for trying'
Hata kama mzazi ni mzaziMkuu haujasoma uzi wangu vzur sijamuhudumia hata kdogo na nimesema sijachukua hatua yoyote kumuelekea na kuhus wazaz haujui kinachoendelea... ni mambo ya aibu ambayo hata siwez kuweka hapa.. kama familia yenu mko sawa shukuru Mungu.
Ni nyege tu ,unafikiri Kuna lolote basi tafuta mchuchu shinda naye siku nzima uone Kama utaendelea kuwaza hizo dhambi zakoWakuu natumai nyote hamjambo...
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.. Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma kwao kila siku.
Kumbe we Katili hivi!!Shida ilianzia hapa...
Nini kitatokea nikiamua kujiweka mbali sana na wazazi wangu
Wakuu, natumai hamjambo, poleni kwa wanaopitia changamoto, Mungu awafanyie wepesi. Nisingependa kuandika mengi, naomba kujuzwa ni kipi kitatokea nikiamua kujiweka mbali sana na wazazi wangu angalau kwa muda ili nifocus kwenye mambo yangu, kwa sababu nimekuja kurealize they are TOXIC. Sitasema...www.jamiiforums.com
Badala awahudumie wazazi anahudumia mwanamke
....
UsitushUghulishe...sawa....?
Kafie mbele