Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Sijasema mm mkuu angalia vizuri Aliyesema apo ni covid 19
Shida ilianzia hapa...

Badala awahudumie wazazi anahudumia mwanamke
....
UsitushUghulishe...sawa....?
Kafie mbele
 
Your day going so far looking forward for job change in plans and will not make the update on your dad and mom ok....
 
CONTINUED...

Nimewaza nisitishe huduma kwao labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri...

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this..
Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated...

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.... .
hizi zikiandikwa kwa kiingereza zinachekesha😅

jilipue tu, hata mkija kuachana ni bora kuliko kumtamani hivyo, unateseka zaidi

halafu hata akikukataa utapata amani, utatulia

kwa lugha yako wanasema 'can't blame a guy for trying'
 
Ana utu na utulivu?
Una ndoto naye je yeye ana ndoto na wewe?
Subiri awe na hela then uone kama wewe ni boy dream wake...
Mkuu actually nina ndoto nae, nisijue yeye na sijachukua hatua japo niliwaza kumuomba outing....japo moyo wangu upo cross roads kingne sipo financially stable sasa nawaza what to do nitoke hapa crossroads..
 
Shida ilianzia hapa...

Badala awahudumie wazazi anahudumia mwanamke
....
UsitushUghulishe...sawa....?
Kafie mbele
Mkuu haujasoma uzi wangu vzur sijamuhudumia hata kdogo na nimesema sijachukua hatua yoyote kumuelekea na kuhus wazaz haujui kinachoendelea... ni mambo ya aibu ambayo hata siwez kuweka hapa.. kama familia yenu mko sawa shukuru Mungu.
 
Asa ukweli tusisemee...
Hakupost anapost meme...
Sa si bora umteme...
Ukazane kusaka mapene...

Andika kwa kiswahili
 
Mkuu haujasoma uzi wangu vzur sijamuhudumia hata kdogo na nimesema sijachukua hatua yoyote kumuelekea na kuhus wazaz haujui kinachoendelea... ni mambo ya aibu ambayo hata siwez kuweka hapa.. kama familia yenu mko sawa shukuru Mungu.
Hata kama mzazi ni mzazi
 
Wakuu natumai nyote hamjambo...

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.. Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma kwao kila siku.
Ni nyege tu ,unafikiri Kuna lolote basi tafuta mchuchu shinda naye siku nzima uone Kama utaendelea kuwaza hizo dhambi zako
 
Shida ilianzia hapa...

Badala awahudumie wazazi anahudumia mwanamke
....
UsitushUghulishe...sawa....?
Kafie mbele
Kumbe we Katili hivi!!
 
Back
Top Bottom