Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Upo kama mie....kuna binti nampa dishaga bodaboda kila leo namtamani kinoma binti mstaarabu ila dah ndio hivyo mie bodaboda yeye mtoto wa benki sasa sijui nifanyaje...nilishampigia nyeto mpaka nimechoka
Kwani ana mtu?
Atakuchapa fimbo ukimfungukiaa?
We mwambie tu mkuu unaweza okota dodo hilo kwny mbuyu😂😂
 
Upo kama mie....kuna binti nampa dishaga bodaboda kila leo namtamani kinoma binti mstaarabu ila dah ndio hivyo mie bodaboda yeye mtoto wa benki sasa sijui nifanyaje...nilishampigia nyeto mpaka nimechoka
Hatar sana mkuu, mm sijalala usiku uliopita.
 
Sasa mkuu unanibishia.! af kwenye uzi nimesema sijachukua hatua yoyote...

kihususa nilitaka nishauriwe nifanye nin kumtoa akilini? sijamtongoza bado hata namba yake ya simu sina.
Kuna mtoto mmoja hivi miaka ya nyuma kidogo nilitokeaga kumuelewa hivo hivo alikujaga dukani kwangu linings. Mahitaj weeeh sasa si nikarudi home nikawa nimemweka akilini daah aiseey hilo ndo kosa nililofanya kwa kweli nilijikuta namuwaza yeye tu hata kazini akipita moyo ulikuwa unashtuka dadekii utadhani nimesikia bomu ya nyukliaa nikawa nawasikia majirani zangu pale dukan wanamsifia "hee leo umependeza" basi mm ndo nazidi kuchanganyikiwa nilikuja kuacha hisia zangu baada ya kumuona yupo na mbabe mmoja hivi wa gym sanaa aisee hisia zilikata paap....... 😂😂😂😂
 
Nini kinakufanya uone kwamba hamuwezi kumake future together??
 
Kuna mtoto mmoja hivi miaka ya nyuma kidogo nilitokeaga kumuelewa hivo hivo alikujaga dukani kwangu linings. Mahitaj weeeh sasa si nikarudi home nikawa nimemweka akilini daah aiseey hilo ndo kosa nililofanya kwa kweli nilijikuta namuwaza yeye tu hata kazini akipita moyo ulikuwa unashtuka dadekii utadhani nimesikia bomu ya nyukliaa nikawa nawasikia majirani zangu pale dukan wanamsifia "hee leo umependeza" basi mm ndo nazidi kuchanganyikiwa nilikuja kuacha hisia zangu baada ya kumuona yupo na mbabe mmoja hivi wa gym sanaa aisee hisia zilikata paap.......
Napitia wakat kama huo mkuu..
 
Nini kinakufanya uone kwamba hamuwezi kumake future together??
My circumstances mkuu... especially finances.. kingne we are of different classes yey n graduate mm n street guy haya niliyajua from a third party source...

mkuu kihususa ningependa kuambiwa how to forget her and move on with life, i feel stuck..
 
CONTINUED...

Nimewaza nisitishe huduma kwao labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri...

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this..
Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated...

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.... .
Wakuu hapa kwenye huduma i meant delivery services biashara... sio hzo huduma some of you thought of.. sorry nimeeleka vibaya.
 
Hatar sana mkuu, mm sijalala usiku uliopita.
Mie kila leo nanyetuka tuu...demu mzuri alafu mpaka sasa kwa u-fbi wangu naona hana mtu. Shida sasa udomo zege alafu ndalama za manati
 
Wakuu natumai nyote hamjambo...

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.. Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma kwao kila siku.
Ume catch feelings , compose yourself and move on .
 
Kwani ana mtu?
Atakuchapa fimbo ukimfungukiaa?
We mwambie tu mkuu unaweza okota dodo hilo kwny mbuyu😂😂
Hamna mutu ila shida udomo zege na lack of capital/ndalama. Maana wikend nampelekeaga pale nashera sasa mie hela ya pizza na burger naitoa wapi nilishajizoelea zangu ugali mandodndo
 
Lazima utapigwa na kitu kizito, mwanaume hutakiwi kufall in love kindezi namna hiyo hadi urisk biashara zako.
 
Where did you derive your conscience brooh that abstaining from sex will be the triggering factor to get her?? Let me tell you this .whatever you do mwanamke hajari kuhusu hisia zako hizo ila fanya kitu akupende and don't trust feelings coz are nothing final u can have some judgments on this but don't base on inclination.USIACHE KUWAPELEKEA BIDHAA BE STRONG
 
Back
Top Bottom