Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Hapa ndo uliposema....kwani huduma hizi ni huduma gani kwann usiwape wazaz wakoi...
Huna lolote
 
Hebu nikuulize swali, nini kinafanya unaona huwezi fanya future nae?
 
Hebu nikuulize swali, nini kinafanya unaona huwezi fanya future nae?
Mkuu nadhani n mtazamo wangu from what i know kumuhusu yeye n graduate na anangoja kazi, yupo anatafuta... kingne mm n mtu wa mtaani japo kazi ya kukidh mahtaj yangu ninayo...

Lengo la uzi ni kuwa nifanye nn nimtoe akilini mwangu...
 
Hisia na akili ni contrasting things. Mara nyingi hisia zikishinda akili matokeo yake sio mazuri. Wews unaendeshwa na mihemko tu usipoifanya akili yako ifanye kazi ndio hivyo tena.

Emotions zisi-override logical common sense.
Mpambano huu huwa ni mkali!

 
Upo kama mie....kuna binti nampa dishaga bodaboda kila leo namtamani kinoma binti mstaarabu ila dah ndio hivyo mie bodaboda yeye mtoto wa benki sasa sijui nifanyaje...nilishampigia nyeto mpaka nimechoka
 
Sio kweli

Sasa mkuu unanibishia.! af kwenye uzi nimesema sijachukua hatua yoyote...

kihususa nilitaka nishauriwe nifanye nin kumtoa akilini? sijamtongoza bado hata namba yake ya simu sina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…