Kuna ubaya ila mie nimeshamaliza ephen_Da candy vip hali..?
Usichanganyikiwe...Kwan ww unavofananishwa na yuniki flawa ni kweli...?
Hujamuia bado ,unaogopa kumuacha sasa ukimuoa utaweza kumuacha kweli...
"Walio makini wanajifunza kulingana na makosa, wasio makini hawachukui hatua yoyote" Anasema Ezden Jumanne
Sjakuzoea hiviπ€£You love that girl right? Well, the discussion ends right there. What happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown, dont draw conclusions right away...
Remember: Life has an amazing way to surprise you...
Usiache kazi yako ya ku-supply hiyo huduma ya biashara kwao, utakula nyasi? Muelezee hisia zako.
Stay happy in the present, eventually your present turns out to be the future..!
Thanks mkuu... I will ask her out... Then see where the waters will take me...You love that girl right? Well, the discussion ends right there. What happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown, dont draw conclusions right away...
Remember: Life has an amazing way to surprise you...
Usiache kazi yako ya ku-supply hiyo huduma ya biashara kwao, utakula nyasi? Muelezee hisia zako.
Stay happy in the present, eventually your present turns out to be the future..!
Umenizoea kiaje ππSjakuzoea hiviπ€£
Kwa hiyo tukushauri kwa lugha ipi Mr Swanglish? Kwa sababu love kwenye daily basis Yako na strong feelings...Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis,
Ukiweka picha yake tunaweza kukushauri vizuriWakuu natumai nyote hamjambo.
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.
Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.
Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Hii ni libidoWakuu natumai nyote hamjambo.
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.
Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.
Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Yaan hapo kama ni mimi duuh maana huwa sina subiraMie kila leo nanyetuka tuu...demu mzuri alafu mpaka sasa kwa u-fbi wangu naona hana mtu. Shida sasa udomo zege alafu ndalama za manati
Kuwa mbwa wa mama Samia, anza kumbwekea.Wakuu natumai nyote hamjambo.
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.
Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.
Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
We endelea na vingereza vyako wahuni wanaendelea kujilia, shauri zakoWakuu natumai nyote hamjambo.
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.
Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.
Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Mie domo zege nategeme pesa kutongozaYaan hapo kama ni mimi duuh maana huwa sina subira
Halafu ukinicheki sina issue but nina confidence ya kijinga yaani ile unaona % za kufanikiwa ni 0.005 lakini bado naingia hivyo hivyo. Ajabu sasa katika 20 lazima nature ikuletee walau wawili kwa interval hata ya miaka kadhaa but siachi kurusha ndoano
Halafu niko serious kinoma
Sijawahi kujic5hukulia kama pesa ndio itanifanya nimpate mwanamke so huwa namface kwanza tunaanza kubiringishana
Nitumie picha yake n namba yakeWakuu natumai nyote hamjambo.
Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.
Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.
Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.
Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.
Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.
N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.