Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

Kuna binti nampenda ila sioni future naye, ila pia sitaki kufanya 'hit-and-run'. Kukwepa kumuona siwezi. Nifanye nini?

You love that girl right? Well, the discussion ends right there. What happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown, dont draw conclusions right away...

Remember: Life has an amazing way to surprise you...

Usiache kazi yako ya ku-supply hiyo huduma ya biashara kwao, utakula nyasi? Muelezee hisia zako.
Stay happy in the present, eventually your present turns out to be the future..!
 
Hujamuia bado ,unaogopa kumuacha sasa ukimuoa utaweza kumuacha kweli...


"Walio makini wanajifunza kulingana na makosa, wasio makini hawachukui hatua yoyote" Anasema Ezden Jumanne
You love that girl right? Well, the discussion ends right there. What happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown, dont draw conclusions right away...

Remember: Life has an amazing way to surprise you...

Usiache kazi yako ya ku-supply hiyo huduma ya biashara kwao, utakula nyasi? Muelezee hisia zako.
Stay happy in the present, eventually your present turns out to be the future..!
Sjakuzoea hivi🤣
 
You love that girl right? Well, the discussion ends right there. What happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown, dont draw conclusions right away...

Remember: Life has an amazing way to surprise you...

Usiache kazi yako ya ku-supply hiyo huduma ya biashara kwao, utakula nyasi? Muelezee hisia zako.
Stay happy in the present, eventually your present turns out to be the future..!
Thanks mkuu... I will ask her out... Then see where the waters will take me...
 
Wakuu natumai nyote hamjambo.

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.

Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.

Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Ukiweka picha yake tunaweza kukushauri vizuri
 
Wakuu natumai nyote hamjambo.

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.

Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.

Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Hii ni libido
 
Hiii situation ipo kwangu pia, sema mimi ninafanya nae kazi Yule bibie….
Najishauri nipige nipite hivi au nitunze Heshima yetu Mimi na yeye,,,😀😀😀😀😀

Kwa ushauri pita nae mkuu kesho hatuijui…😅😅😅😅
 
Mie kila leo nanyetuka tuu...demu mzuri alafu mpaka sasa kwa u-fbi wangu naona hana mtu. Shida sasa udomo zege alafu ndalama za manati
Yaan hapo kama ni mimi duuh maana huwa sina subira
Halafu ukinicheki sina issue but nina confidence ya kijinga yaani ile unaona % za kufanikiwa ni 0.005 lakini bado naingia hivyo hivyo. Ajabu sasa katika 20 lazima nature ikuletee walau wawili kwa interval hata ya miaka kadhaa but siachi kurusha ndoano
Halafu niko serious kinoma
Sijawahi kujic5hukulia kama pesa ndio itanifanya nimpate mwanamke so huwa namface kwanza tunaanza kubiringishana
 
Wakuu natumai nyote hamjambo.

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.

Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.

Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Kuwa mbwa wa mama Samia, anza kumbwekea.
 
Wakuu natumai nyote hamjambo.

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.

Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.

Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
We endelea na vingereza vyako wahuni wanaendelea kujilia, shauri zako
 
Yaan hapo kama ni mimi duuh maana huwa sina subira
Halafu ukinicheki sina issue but nina confidence ya kijinga yaani ile unaona % za kufanikiwa ni 0.005 lakini bado naingia hivyo hivyo. Ajabu sasa katika 20 lazima nature ikuletee walau wawili kwa interval hata ya miaka kadhaa but siachi kurusha ndoano
Halafu niko serious kinoma
Sijawahi kujic5hukulia kama pesa ndio itanifanya nimpate mwanamke so huwa namface kwanza tunaanza kubiringishana
Mie domo zege nategeme pesa kutongoza
 
Wakuu natumai nyote hamjambo.

Kwanza kabisa nipende kusema jukwaa hili naliona kama familia, kiukweli najihsi huru kuweka my concerns hapa kuliko kuzungumza na mtu, ndio sababu nalileta hili hapa,.

Wakuu recently nimekuwa na strong feelings of love to a girl I meet on a daily basis, sasa tatizo sioni kama we can make a future together na sikutaka kufanya hit and run to this particular girl.

Pia my conscience tells me not to pursue her, despite all this bado ninampenda. Kumkwepa nisimuone ni ngumu cos napeleka huduma ya kibiashara(delivery service) kwao kila siku.

Nimewaza nisitishe huduma ya kibiashara kwao wao ni wateja wangu labda kwa muda nisimuone lakini naona huu si uamuz mzuri kupoteza mapato kisa mapenz hapana.

Wakuu I feel stuck, jana usiku sijalala coz of this. Ushaur wenu utakuwa greatly appreciated.

N.b: I dont simply want to sleep with the girl, i have a deep longing for her.
Nitumie picha yake n namba yake
 
Back
Top Bottom