Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Nchi ili kukuwa kiuchumi inahitaji nguvu kazi nguvu kazi ni pamoja ni idadi kubwa ya watu..

Tanzania haihitaji kuwa na idadi ndogo ya watu la hasha , tunahitaji sekta binafsi na wawekezaji wenye makampuni kila kona ya mkoa , na serikali iangalia njia mpya za kutengeneza ajira ili ipate kodi kutoka kwa awafanya kazi


Hata hao china uliowatolea mfano na sera zao hizo za miaka hiyo , imapct yake wamekuja kuiona kipindi kile cha covid... yani china ina wazee wengi kuliko vijana na vijana nao hawazaliani..

Mfano mwingine fikiria nchi kama canada .. raia ni wachache sana .. kiasi kwamba nchi inategemea immigrants kama nguvu kazi yake.. ni kwasababu hizo
Tanzania ina overpopulation kwa sababu zifuatazo;

Darasa la wanafunzi kukaa 45, Tanzania wanakaa wanafunzi 100.

Ajira 50 zikitangazwa basi watakaoziomba ni watu 3000.

Matundu ya vyoo 10 mashuleni yanatumiwa na wanafunzi 1000.

Overpopulation inaenda mbali zaidi ya kuwa na eneo kubwa la ardhi tu, lazima namba ya watu iendane sambamba na huduma za muhimu vilevile fursa zilizopo.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tunambebesha Samia lawama za bure tu. Yule Magufuli aliharibu mfumo mzima wa ajira na kipato katika nchi. Kwanza kwa kuanzisha miradi ambayo haina maana kama bwawa la Mwl Nyerere, kujenga viwanja vya hovyo vya ndege, kujenga Dodoma pasi na sababu, kunyima wafanyakazi haki ya msingi ya nyongeza ya mshahara na kuharibu kipato cha familia, kufukuzisha watu kazi hovyo, kuharibu mfumo wa mafao kwa wastaafu na sekta binafsi, kuharibu sekta binafsi, kuharibu mfumo wa siasa wa nchi na mwisho kufa kifo cha kizembe kwaajili ya ujuaji wa kijinga tu. Bye Magufuli.
Mimi Kila siku naliongea Hilo ila wapumbavu hawaelewi
 
Na waliopo kwenye ajira wanalipwa pesa kiduchu sana wakati mabilioni yakipelekwa nje ya nchi kama faida kwa makampuni.
 
Mkuu Phd nyingi hasa za wanasiasa na viongozi wa dini ni feki za kununua kutoka kwa matapeli-Diploma mills. Ukiwa na Phd Og huwezi ukateseka.

Na huwezi ukasoma kwa mfano Political Science and Public Administration kisha ukawa muoga wa kuingia kwenye siasa, hapo lazima uteseke.
At from diploma to masters
 
Najua humu kuna watu wa level tofauti za elimu na uwezo tofauti wa kupambanua mambo binafsi nawaomba kwenye hoja ya population muiache kabisa hasa katika muktadha mnaozungumzia, mnaweza mkamlaumu mwendazake kwa mambo mengi sana ila kama kweli akili zenu zinafanya kazi vizuri basi mtaona na mazuri mengi aliyoyafanya katika taifa hili, kwanza kabisa suala la unemployment katika mataifa mengi ya kiafrica hayasababishwi na high rate of population growth sababu mataifa mengi ya kiafrika yana idadi ya watu ambayo ni ndogo ukilinganisha na rasilimali iliyopo bado tunatakiwa tuendelee kuzaliana kwa wingi angalau kumeet lile gap la rasilimali na population tuliyonayo.

Ukosefu wa ajira ni matokeo ya mifumo mibaya ya kielimu ambayo inamsaidia kijana kuondokana na ujinga tu na sio kuwa innovative katika mazingira yake hilo ni pamoja na sera mbaya katika kusimamia mgawanyo sawa wa rasilimali zinazopatika katika maeneo yetu. Kwa upande mwingine chukulia mfano babu zetu hawakuwa na ajira na walikuwa na wake wengi na watoto lundo na waliwasomesha wote waliokuwa tayari kwenda shule just kwa shughuli za kilimo na ufugaji leo sisi vijana tumesoma wote tumekuja daslam tumelundamana hapa tumeacha vijijini kwetu maeneo makubwa yamekuwa mapori maana hakuna shughuli za uchumi zinazoendelea huko wote tunataka kukaa ofisini kwa kifupi tumekuwa WAVIVU sana hatutaki tena kazi ngumu tuko tayari kuwa wapambe wa watu waliofanikiwa bila aibu tumeuza UTU wetu na wengine wameenda mbali zaidi wameuza jinsia zao kwa wanaume wenzao ili tu aweze kuishi mjini.

Tujitafakari sana kama taifa maana wazungu wametuingiza kwenye mtego wa mda mrefu na sasa tumenasa maana walituletea elimu ambayo ilitakiwa ituwezeshe kutumwa na wao na sasa tumekuwa watumwa wa kifikra.

[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Tutakuwa kama Nigeria
Stage inayofuata ni vijana kuikimbia nchi yao na kwenda kutafuta fursa ughaibuni...

Kila mwaka vijana wanahitimu na kumwagwa uraini,

serikali imeshindwa kutengeneza mgumo wa ajira rasmi, wala ku support vijana walioamuwa kujiajiri kwenye ajira zisizo rasmi..
 
Tanzania kuna overpopulation, kasi ya ukuaji Idadi ya watu haendani kabisa na ukuaji uchumi wetu. Usidanganye watu wazidi kufyatua.
Nchi ili kukuwa kiuchumi inahitaji nguvu kazi nguvu kazi ni pamoja ni idadi kubwa ya watu..

Tanzania haihitaji kuwa na idadi ndogo ya watu la hasha , tunahitaji sekta binafsi na wawekezaji wenye makampuni kila kona ya mkoa , na serikali iangalia njia mpya za kutengeneza ajira ili ipate kodi kutoka kwa awafanya kazi


Hata hao china uliowatolea mfano na sera zao hizo za miaka hiyo , imapct yake wamekuja kuiona kipindi kile cha covid... yani china ina wazee wengi kuliko vijana na vijana nao hawazaliani..

Mfano mwingine fikiria nchi kama canada .. raia ni wachache sana .. kiasi kwamba nchi inategemea immigrants kama nguvu kazi yake.. ni kwasababu hizo
 
Sahihi kabisa.
Tanzania ina overpopulation kwa sababu zifuatazo;

Darasa la wanafunzi kukaa 45, Tanzania wanakaa wanafunzi 100.

Ajira 50 zikitangazwa basi watakaoziomba ni watu 3000.

Matundu ya vyoo 10 mashuleni yanatumiwa na wanafunzi 1000.

Overpopulation inaenda mbali zaidi ya kuwa na eneo kubwa la ardhi tu, lazima namba ya watu iendane sambamba na huduma za muhimu vilevile fursa zilizopo.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tunambebesha Samia lawama za bure tu. Yule Magufuli aliharibu mfumo mzima wa ajira na kipato katika nchi. Kwanza kwa kuanzisha miradi ambayo haina maana kama bwawa la Mwl Nyerere, kujenga viwanja vya hovyo vya ndege, kujenga Dodoma pasi na sababu, kunyima wafanyakazi haki ya msingi ya nyongeza ya mshahara na kuharibu kipato cha familia, kufukuzisha watu kazi hovyo, kuharibu mfumo wa mafao kwa wastaafu na sekta binafsi, kuharibu sekta binafsi, kuharibu mfumo wa siasa wa nchi na mwisho kufa kifo cha kizembe kwaajili ya ujuaji wa kijinga tu. Bye Magufuli.
Naunga mkono hoja na Bado kununua wabunge,madiwan wenykt wa mtaa
 
Tanzania kuna overpopulation, kasi ya ukuaji Idadi ya watu haendani kabisa na ukuaji uchumi wetu. Usidanganye watu wazidi kufyatua.
Tatizo sio kufyatua , tatizo hapa unalikwepa ambalo ni "ukuaji wa uchumi wetu" ...

Asilimia kubwa ya watu ,wamebadili mtindobwa maisha..
Wengi wanzaa watatao wanne, 3 wawili hata mmoja

huweezi linganisha na miaka ya 90 huko ambapo babu yako ana wake wanne na kila mmoja ana watoto wa5.

Baba yako ana watoto 9 hayo mambo zamani fnio yalikuwa kwa sana lakini sio sasa hivi mke kujifunguwa mpaka operation..

Kubalibtu kwamba nchi hii amendeleo yako yanaenda taraibu sana. Changamoto za toka uhuru hadi leo 2023 bado tunapambana nazo...

Ndio maana mpaka leo bado hatujatatua kero kama uhaba wa maji, umeme, elimu, afya na huduma nyinginezo..

Nasasa hasa katika sekta ya uwekezaji , biashara na etc ni zero .. na ndio maana hakuna ajira mpya , kampuni ni zile zile , taasisi ni zile zile,.
Narudia tena hakuna overpopulation yyte hapa tz.. we mpaka sasa hivi huku Dar kuna meneo bado yapo kama porini/kijijini
 
Tutakuwa kama Nigeria
Ndio kina chofauta kundi kubwa lanvijana wenye vyeti na degree mkononinwasio na mitaji na wameshindwa kujiajiri ..

watakimbilia nchi za nje kutafuta ajira ,exposure na experience huko nje .. kuliko wabaki hapa bongo na kushauriwa eti wafanye boda boda
 
Juzi nimeona mstaafu mzee Mizengo Pinda kapigiwa pande arejee kula allowances na marupu rupu ya umma, kuna siku kitawaka tu hilo halina mjadala., sio suala la IF ni suala la WHEN. Inshaallah.
 
Back
Top Bottom