Kuna chawa mmoja wa mwamba aliyepewa mgao wa asali alinunua alphadi pamoja na ahadi aliyopewa ya kugombea ubunge kigamboni

Kuna chawa mmoja wa mwamba aliyepewa mgao wa asali alinunua alphadi pamoja na ahadi aliyopewa ya kugombea ubunge kigamboni

Msemajiwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
679
Reaction score
1,692
Mnamo mwishoni mwa mwaka 2024;

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........
 
Mnamo mwishoni mwa mwaka 2024;

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........
Yericko naye ni wa kumwandika kwa code Mkuu?
Hastahili hiyo ‘heshima’
 
Mnamo mwishoni mwa mwaka 2024;

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........
Huko Chadema kunafuka moshi
 
Mnamo mwishoni mwa mwaka 2024;

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........
Hivi kumbe hanaga hata kagari?
 
yericko awe jasusi hii nchi haiishi vituko, labda jasusi kwa kukopi maandiko ya watu
Yule jamaa usimchukulie poa. Ni intelligence na security analyst mkubwa sana, anapokea za moto kupitia intelligence cables😀
 
Back
Top Bottom