Kuna chawa mmoja wa mwamba aliyepewa mgao wa asali alinunua alphadi pamoja na ahadi aliyopewa ya kugombea ubunge kigamboni

Kuna chawa mmoja wa mwamba aliyepewa mgao wa asali alinunua alphadi pamoja na ahadi aliyopewa ya kugombea ubunge kigamboni

Mnamo mwishoni mwa mwaka 2024;

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........
Pamoja na ushahidi ulionao unaogopa kumtaja kwa jina. Sababu unazijua za aidha ni muongo kama Lissu au unamuogopa Mbowe.
 
Mnamo mwishoni mwa mwaka [emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]]][emoji[emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]]][emoji[emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]]][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]]]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji6[emoji640][emoji637]]][emoji[emoji638][emoji639][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]][emoji[emoji6[emoji640][emoji638]][emoji640][emoji640]]]]];

Kijana mmoja timu mwamba, aliitwa ili kupewa maelekezo ya kuratibu harakati za mwamba ili abakie kwenye kiti.

Kijana huyo anayejiita mwandishi nguli alipokea asali hiyo kupitia kwa mtoto wa mwamba.

Moja ya matumizi ya kwanza kabisa ya asali ile kijana huyo alinunua alphadi na kusafili hadi kwao iringa kutambika kwa ajili ya maandalizi ya kugombea ubunge kigamboni kama alivyo ahidiwa na Mwamba!

Akijidai anakohoa tutamwaga Ushahidi wa Asali aliyopokea kupitia kwenye akaunti ........

Kama unazo data za rushwa kwanini usiziweke wazi watu wawajue vyema wanaotaka kuwaongoza,ili wasifanye makosa kwenye box la kura.Wewe unasubiri hadi mtuhumiwa aseme neno ndio uanike uovu?Asiposema ?

Kama unauhakika wa uyasemayo ni kwanini uandike kwa mafumbo?Huoni kuficha kwako uovu kutasababisha watu waovu wachaguliwe?


Watu kama wewe ni yawezekana wazushi ama ni wale ambao yeye na mtuhumiwa wote ni waovu,ila wanaliana timing za “ukisema uovu wangu nami nasema uovu wako,usiposema uovu wangu nami sisemi uovu wako.Ila hakuna msafi kati ya anayetuhumu na anaye tuhumiwa.
 
Kama unazo data za rushwa kwanini usiziweke wazi watu wawajue vyema wanaotaka kuwaongoza,ili wasifanye makosa kwenye box la kura.Wewe unasubiri hadi mtuhumiwa aseme neno ndio uanike uovu?Asiposema ?

Kama unauhakika wa uyasemayo ni kwanini uandike kwa mafumbo?Huoni kuficha kwako uovu kutasababisha watu waovu wachaguliwe?


Watu kama wewe ni yawezekana wazushi ama ni wale ambao yeye na mtuhumiwa wote ni waovu,ila wanaliana timing za “ukisema uovu wangu nami nasema uovu wako,usiposema uovu wangu nami sisemi uovu wako.Ila hakuna msafi kati ya anayetuhumu na anaye tuhumiwa.
Unataka tuitaje benk yake hapa huoni tutawaharibia biashara ya bank
 
Back
Top Bottom