Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalamika kuachwa na Hamida

Ni kinondoni sehemu gani hiyo!?
Maana najua ni Dar tu hapo!
 
Duuh kumbe? Daah kweli kina Hamida kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwenye ile verse, Mpiana alimkubali sana Amida;

Passé na ngai eleki mabé, yango na effacé ba souvenirs nionso ya mabé na bongo na nga, memoire na nga eyebi kaka kombo ya Amida Shatur Na yé ndé pelerinage epa na yo petola nga mama, sukola nga mama, salisa nga na bika oh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…