donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Sijamuona Huyo mwamba mkuuAm
Amemwacha Jamaa Ambaye Ulimuona Kwenye Hiyo Video
Ingia Chit Chat Utaelewa Maana Thread Tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamuona Huyo mwamba mkuuAm
Amemwacha Jamaa Ambaye Ulimuona Kwenye Hiyo Video
Ingia Chit Chat Utaelewa Maana Thread Tele
Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalaamika kuachwa na hamida ...
Huyo jamaa tunamtafuta ,kwa yeyote anaemjua huyo jamaa au mwenye mawasiliano nae tunaomba pls..
NB Hatumtafuti kwa ubaya
Mimi ninafanya kazi kwenye media X
Lengo la kumtafuta ni kufanya nae Interview...
View attachment 1331928
Sent using Jamii Forums mobile app
HapanaUnawaonaje lakini? Walikuwa wametulia?
Weka hapa videodaaa yani wabongo tupo speed kwenye mambo ya ajabu.! hv hy ishu imetokea lini mana me hy video nmeiona ht saa 1 haijapita.?
Pale alitakiwa aamshwe kwa viboko.
Hiyo nguvu ya kujigalauza chini kwenye sakafu kama kambale jike angezitumia kubeba matofali angepata pesa ya kumnunulia huyo Hamida japo shumizi na mafuta ya nazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamida kamuacha jamaa, jamaa analia anagalagala chini
tatizo linakuja mi n mla kitimoto mkuuNenda nae vizuri. Akina Hamida wanakuwaga Sana mahaba na mapenzi. Halafu wengi wao huwaga ni wife materials
Mkuu tumetofautiana vifua lakini [emoji23][emoji23]Exactly huyu ni mvulana, tena mbumbumbu
Jamaa hapo mwanzoni nimependa anavyosema niache!!
Sasa huyo hamida anapatisha tabu mpk vijiko,sakafu,maji na boxer!! Hamida ndo mwanamke anaebadilisha wasifu wa mtu kuwa kambare.