herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Hamida ni hamida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaam,
Nilikua offline kidogo kwenye IG, Jana naingia naona post zinatrend kuhusu hamida,mara sijui mkombozi wa wanawake mara sijui kuna kikao cha wanawake wakutane na hamida, naona hadi wolper katoa clip anamuongelea hamida. Who the f is she? Na ana mishe gani hapa mjini? Naomba kujuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani chiefNext time usini quote ujinga chief
Hamida kamuacha jamaa, jamaa analia anagalagala chiniNaomba uni-brief kidogo..huyo Hamida kafanyaje??,,Maana kila sehemu hamida hamida..
Jamaa hapo mwanzoni nimependa anavyosema niache!!
Sasa kama huyo Hamida akichukuliwa na bishoo mwenzake wa mtaa mmoja wazazi wa huyo jamaa wajiandae kumpeleka milembeHamida kamuacha jamaa, jamaa analia anagalagala chini
Amemuacha nani mkuu?Hamida Hamida Hamida [emoji871][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji39][emoji7][emoji4][emoji2956] Ameniacha Hamida
Amemwacha Jamaa Ambaye Ulimuona Kwenye Hiyo Video