Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Status
Not open for further replies.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.

Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.

Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.

- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
 
NCHI HII HAINA DINI HAPO STEREO KUNA WAKRISTU WANATAKIWA KULA, KUNA WAPAGANI PIA.

WAACHE KULETA MAMBO YA UDINI. NDIO MAANA HUWA NASEMA BORA MZUNGU ASHIKIRIE DUNIA HAWA WENGINE WAARABU NA COs SIO WATU, WAKIPATA NGUVU KIDOGO WAISLAMU NA WAARABU DUNIA ITAKUWA SIO SEHEMU SALAMA YA KUISHI
 
Habari!
Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.
Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.
Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.
- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
😂😂😂wananishangazaga na hayo mambo yao, sasa wanataka dada wa watu akale wapi?

Yaaani kufunga wafunge wao,wengine wateseke
 
Pia tutambue Tanzania ni Secular state na Sio Religious state na wakati mwingine huwezi sikia kipindi cha Kwaresma Viongozi wanapiga Mikwara kupunguza bidhaa bei ila ikifika kipindi hiki kila kiongozi anatoa tamko.

Kuna mambo lazima tuyaweke sawa ili kila upande uone unapata haki zake suala la kufunga ni wewe ni Muumba wako na kufunga kwako kusiwe kero kwa Mwingine

Sioni Kosa la huyo dada As longer hapo kuna madhehebu mengine wanaweza kula mambo mengine ni Utashi wako tu utaogopa dhambi ya tamaa ya kula wakati akipita mdada unamwangalia kwa matamanio mpaka unataka kutumbukia darajani.

Tumwombe Mungu sana atuonyeshe yaliyo ya Kweli
 
🤣🤣🤣🤣 tuhamie huko bas...hakuna shehe hapa jf atuslimishe? Ramadhani inaanza kesho
Watakuja mda si mrefu wako busy kugombana na wamama wa uji mitaani kwanza....muhimu anza kuandaa jina baadae upite na karume pale kubeba majuba ya kutosha ( mtoto wa kike ujistiri🤣🤣🤣🤣)

Mimi natafuta mkasi hapa nikate suruali zangu zote. Kesho sio mbali tena
 
Hivi dini si inatakiwa ihubiri amani?

Inakuwaje baadhi ya dini zinahubiri chuki?

Agano jipya (Biblia inayosema juu ya Bwana Yesu) inahubiri amani. Huu ndio msingi wa ukristo, na kila mkristo anapaswa kuwa na amani na watu wote, tena ampende jirani yake kabla kuonesha kumpenda Mungu.

Kitabu cha Yohana kinaeleza vizuri sana Yesu Kristo ni nani, na anayejiita mkristo au mwanafunzi na mfuasi wa Yesu Kristo ni nani anatakiwa aishi maisha gani.

Hakika kwa YESU KRISTO kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri ya kuwa YESU KRISTO ni BWANA. Hakuna namna na hakuna jinsi ya kulikwepa hili. Hii itakaa na kubakia hivyo.

Hivyo, watu wa Mungu tubuni dhambi zenu mbele za Mungu, rudini kwa Bwana awape utulivu na pumziko la kweli (Mathayo 11:28).

Yesu ndiye njia ya kweli na uzima, nuru iko kwake...tutoke gizani na kuijia nuru ili tupate kupona na kuiona amani na furaha milele.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom