Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Status
Not open for further replies.
Hakuna hadithi inayokataza kula mbele ya aliefunga mwezi mtukufu wa Ramadhan
Tuvumiliane jamani
Kumpa chakula mtu aliefunga sio vizuri kama unajua ila tunafunga kwa sababu ni lazima kufunga na wala Siwezi kuwa na tamaa kuona uji unauzwa nikanywa

Tuheshimu na tusitukane kwani ni mwezi wa Toba huu
 
Hakuna mwenye unafiki wa wazi wazi. Unakuta mtu yule mdangaji wa wazi wazi kuonyesha hadi matako mtandaoni..ramadhani ikifika anaacha, anajistiri na misemo ya quran inatawala.
Ikisha tu loh...balaa linaendelea tena kwa kasi zaidi.
Tunachowaomba.. mfungo wenu usiwakwaze wasio funga..hilo tu.
Kama unakwazika Rudi kwenu
 
Dada wanamlazimisha asilete bidhaa ( uji) kujipatia ridhiki Kwa kuwahzia watu wengine ambao hawafungi,wakristo na wapagani.Waislamu wamemkataza kufanya biashara
Ukiona hivyo % kubwa hapo ni waislam
 
Hicho mnachokizungumzia hakipo kwenye uislamu. Mlichokifanya hapo ni kuchukua kauli personal na kuusemea uislam. Uislam haupo hivyo. Msikurupuke.
 
Mungu yupi anataka watu wateseke bana..... Hizi dini sizielewi kabisa....mimi nitaendelea kuabudu nature
 
Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?[emoji848][emoji2827]
Hapo ni swala la tamaduni, na hizo ni tamaduni zetu watu wa pwani.
Na ndio sehemu zenye waislam wengi
Hizo tamaduni haziwezi kuoneka Bara coz sio maeneo yenye waislam wengi.
Ikiwa mgeni wa Pwani lazina Uta shangaa
Mmetaka kuja Pwani basi fuateni tamaduni zetu hamutaki rudini kwenu
 
Vipi huko Zanjibar
Bado hawajapiga marufuku kula chakula mchana magengeni ?

Hii dini ingeshika dola, wote tungesilimishwa kwa lazima.
Tayariiii

9F6FC8CF-073B-407B-AF64-A9B7DE85CC64.jpeg
 
Habari!
Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.

Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.

Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.

- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
...Na kama huyo Dada naye kakubali basi ni Mjinga! Nchi Haina Dini. Labda naye ni Muislamu....!
 
Mkuu hizo ni tamaduni za watu wa pwani unapofika mwezi wa Ramadhan.
Sasa kama wewe mgeni fuata tamaduni za wenyeji wako,huwezi rudi kwenu
Hiyo ni jamii iliyotangamana. Kama kila mtu ataleta tamaduni zake itakuwaje. Tuseme kwenye familia zao wote wanafunga? Hakuna wagonjwa au watoto wanaopikiwa chakula. Tamaduni gani hizo zisizotumia akili?
 
Mwezi ukipita madhambi kama yote. Hii dini mi naipenda sana..nipo mbioni kuhamia huko
Mwezi ukipita madhambi kama yote [emoji1787]
Kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa ISSA enzi hizo niko nyumba zetu zileee za kushea, alikuwa anatukaribisha misosi ya nguvu mno kipindi kama hiki.

Saa 12 jioni, ftari na uji, 2 usiku daku, 4 usiku menyu kamili, na 10 au 11 alfajiri kukazia menyu.

Sasa najiuliza hivi huku ni kufunga kweli au kubadili tu ratiba ya msosi [emoji848]

Tena si msosi wa kawaida kama siku ambazo Jamaa hafungi bali ni msosi wa nguvu haswaa [emoji16]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom