Kuna dalili yoyote tajiri namba moja akapewa wizara huko Marekani?

Kuna dalili yoyote tajiri namba moja akapewa wizara huko Marekani?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kutokana na tajiri namba moja duniani kuwa kwenye timu ya kampeni, na hatimaye kushinda; Je kuna dalili yoyote ya yeye kupewa wizara? Na kama atapewa, itakuwa ni wizara gani?

Ingawa wapo wanao hisi kwamba, kutokana na yeye kushiriki kwenye siasa inawezekana anapalilia njia ya kuwania nafasi ya urais kipindi kijacho.

Wachambuzi, mnalisemeaje hili?​
 
Kwa mtazamo wangu tajiri alibeti, kuingia na kujitangawa wazi kwamba anasimama na Trump ilikua ni mbinu ya kibiashara apate faida kubwa sana ama hasara.
Kitendo cha Trump kushinda kimemfanya tajiri kutengeneza faida maradufu ndani ya siku 2/3, hisa za makampuni yake zimenunuliwa na zimepanda maradufu.
Kwasasa sioni kama tajiri atakubali ofa ya teuzi in USA.
 
Kwa mtazamo wangu tajiri alibeti, kuingia na kujitangawa wazi kwamba anasimama na Trump ilikua ni mbinu ya kibiashara apate faida kubwa sana ama hasara.
Kitendo cha Trump kushinda kimemfanya tajiri kutengeneza faida maradufu ndani ya siku 2/3, hisa za makampuni yake zimenunuliwa na zimepanda maradufu.
Kwasasa sioni kama tajiri atakubali ofa ya teuzi in USA.
jamaa kichwa sana
 
Donald Trump ndio Rais tajiri zaidi kuwahi kutokea katika Historia ya USA,hamna ambaye amewahi kufika hata robo ya utajiri wake.
Utajiri wa Trump kwa Elon Musk ni sawa na tone la maji kwenye bahari,sasa Elon Musk akipewa cheo cha uwaziri ni sawa na kumdhalilisha.
 
Kwa mtazamo wangu tajiri alibeti, kuingia na kujitangawa wazi kwamba anasimama na Trump ilikua ni mbinu ya kibiashara apate faida kubwa sana ama hasara.
Kitendo cha Trump kushinda kimemfanya tajiri kutengeneza faida maradufu ndani ya siku 2/3, hisa za makampuni yake zimenunuliwa na zimepanda maradufu.
Kwasasa sioni kama tajiri atakubali ofa ya teuzi in USA.
Ni kweli uteuzi kwake hauna maslai, labda atataka tu ile kutambulika kiuongozi; ni kama Trump, sidhani kama kwake urais ni maslai, nadhani ni ile kutaka kutambulika mimi ni fulani.​
 
Donald Trump ndio Rais tajiri zaidi kuwahi kutokea katika Historia ya USA,hamna ambaye amewahi kufika hata robo ya utajiri wake.
Utajiri wa Trump kwa Elon Musk ni sawa na tone la maji kwenye bahari,sasa Elon Musk akipewa cheo cha uwaziri ni sawa na kumdhalilisha.
Ndio wadadisi wanaumiza kichwa Ellon & Kennedy watapewa sekta ipi?
 
Back
Top Bottom