Yanga haiwezi kuiletea Tanzania aibu kama hii walioileta mikiaSioni dalili za game ya Yanga kuoneshwa..yawezekana ikawa ni ombi lao ili kukwepa aibu ya kuona jinsi watakavyokua wakiadabishwa na pyramids.. Hata hivyo dunia kijiji link zipo na wale wa dstv kama kama kawa kama dawa..
Ngoja tuone mkuuYanga haiwezi kuiletea Tanzania aibu kama hii walioileta mikia View attachment 1252532
Nikweli itashinda na njaa kwa kishindo.Yanga lazima ishinde kwa kishindo!
Yanga hata wakifungwa , hawawezi kufungwa goli 5 kama Simba walivyokuwa wanafungwa
Simba haikuiletea aibu Taifa ule ndo ulikua uanaume, mana mwisho wa siku simba aliibuka shujaa hadi akawabeba Yanga kwenda kucheza CAF champion.Yanga haiwezi kuiletea Tanzania aibu kama hii walioileta mikia View attachment 1252532
HahahahaAcha roho mbaya wewe mchawi
AiseeeTena mchawi na muuaji wa watu ka Zitto na kigogo2014
Yanga haiwezi kuiletea Tanzania aibu kama hii walioileta mikia View attachment 1252532
Hayo magoli matatu ya soura ulishinda wewe na wajomba zakoNakazia AL SAURA 5 - 0 SIMBA/MAKELELE FC
Halafu washawahi kupigwa goli 3 ndani ya dk 5 na wamoroccoNakazia AL SAURA 5 - 0 SIMBA/MAKELELE FC