Kuna dawa ya kienyeji ya kutibu ugonjwa wa kisukari?

Kuna dawa ya kienyeji ya kutibu ugonjwa wa kisukari?

MwananguWee .. usijaribu kutapatapa na kuchukuwa ushauri wa mitaani... achana nao!!
Nakutahadharisha...
Gonjwa la Kisukari kinahijitahi kuheshimiwa na kufuata maelekezo maalum ya Dokta mtaalam.!!

Cha msingi tumia njia za miiko (ya vyakula na tuache kuendekeza nafsi, matamanio na ulafi)
Fanya mazoezi ya kutembea daily dkk.45...
Pole na Good Luck
Wee Binty wee... Haram aleyik utauwa mtu bure...utabeba dhima!!
Kila Tiba ina kipimo chake maalum.
Wacha kupotosha kama kitu hukijui kaa kimya, aliyekuambia dawa ya kisukari hamna ni nani? Labda hospitalini ndio hamna lkn dawa zipo za asili na zenye kuponya, hivyo muwache muhusika apambane kuitafuta mana hospitali washasema dawa ya kuponya kisukari hamna ila ipo ya kutuliza, ss muhusika dawa ya kutuliza kapewa na haitaki mana anataka kupona, ss wewe kwnn unamtisha mwenzio? Watu wamepona magonjwa makubwa na mazito kwa dawa za asili mimi shahidi unasema nini wewe.
 
Kwanini mnakuwa na mzaha namna hii kwenye vitu serious, hv tungekuweka wewe ktk hali ya muhusika alafu mm nacoment huu upumbavu wako hapa ungejisikiaje, be wise na kama huna cha kuchangia wacha usiendekeze siasa kila mahali.
kwani maombi hayawezi kupambana na vita ya uchumi wa sukari
 
Kuwa makini sana na kila unachoambiwa, Mama aliambiwa ndani ya miezi 6 atapona kabisa na kuelekezwa kutofuata masharti hasa ya vyakula na kutopima kabisa sukari. Mwisho wa siku hali ilikuwa mbaya zaidi, na Daktari alikuwa mkali sana alipofuatwa baada ya kuwa amepiga pesa ndefu. Hivyo za kuambiwa ongeza na za kwako chukua dawa lkn tahadhali na masharti ya vyakula muhimu sana kufuatwa
Mimi ninaweza kumtibu kisukari alicho kuwa nacho kwa siku 90 aka miezi 3 na atapona kabisa maradhi yake.
Kisukari kinasababishwa na sumu iliyopo katika Kongoso aka Pancreatic ukiweza kusafisha kongosho umeweza kutibu maradhi ya kisukari. Hospitali Hakuna dawa ya kuwezakutibu maradhi ya Kisukari. Dawa zaasilizipo zakuweza kutibu maradhi ya kisukari ninazijuwa na watu wanatumia na kupona maradhi ya kisukari.


 
Mimi ninaweza kumtibu kisukari alicho kuwa nacho kwa siku 90 aka miezi 3 na atapona kabisa maradhi yake.
Kisukari kinasababishwa na sumu iliyopo katika Kongoso aka Pancreatic ukiweza kusafisha kongosho umeweza kutibu maradhi ya kisukari. Hospitali Hakuna dawa ya kuwezakutibu maradhi ya Kisukari. Dawa zaasilizipo zakuweza kutibu maradhi ya kisukari ninazijuwa na watu wanatumia na kupona maradhi ya kisukari.



Tatizo hili nikubwa hapa nchini na duniani, kama waweza kwani nini wajificha usiende ktk vyombo na kueleza neema hiyo??!!. Najua utatafuta visingizio kibao lkn tuwe na utu, baadhi yenu mnatumia kukosa matumaini kwa wagonjwa kuhamisha fedha kutoka ktk mifuko yao na kuiweka katka mifuko yenu.

Hapa sijakutuhumu bali ninaongelea baadhi ya waganga wenzio mimi nina experience na hilo, watu waelezwe ukweli hasa upande wa matumizi ya vyakula na mazoezi.

Pia nina wasiwasi na maelezo yao juu ya kisababishi cha Kisukari wewe wasema ni Kongosho kutoa sumu, wataalamu wanasema ni Kongosho kushindwa kutoa Chemical fulani kwenda kuyeyusha Sukari ndiyo maana wanakupa vidonge / sindano za kutimiza jukumu hilo. Pia wanashauri ufanye mazoezi ili kuyeyusha sukari hiyo mwilini na kuepuka vyakula vyenye sukari nyingi.

"Anyway everything is possible under the sun", kama una dawa hiyo na ushuhuda wa kweli ( siyo kama wale wa kikombe cha Babu) ni vizuri ukaenda mbele zaidi, nakuhakikishia utajiri wa mwendokasi.

Nakutakia siku njema
 
Tatizo hili nikubwa hapa nchini na duniani, kama waweza kwani nini wajificha usiende ktk vyombo na kueleza neema hiyo??!!. Najua utatafuta visingizio kibao lkn tuwe na utu, baadhi yenu mnatumia kukosa matumaini kwa wagonjwa kuhamisha fedha kutoka ktk mifuko yao na kuiweka katka mifuko yenu.

Hapa sijakutuhumu bali ninaongelea baadhi ya waganga wenzio mimi nina experience na hilo, watu waelezwe ukweli hasa upande wa matumizi ya vyakula na mazoezi.

Pia nina wasiwasi na maelezo yao juu ya kisababishi cha Kisukari wewe wasema ni Kongosho kutoa sumu, wataalamu wanasema ni Kongosho kushindwa kutoa Chemical fulani kwenda kuyeyusha Sukari ndiyo maana wanakupa vidonge / sindano za kutimiza jukumu hilo. Pia wanashauri ufanye mazoezi ili kuyeyusha sukari hiyo mwilini na kuepuka vyakula vyenye sukari nyingi.

"Anyway everything is possible under the sun", kama una dawa hiyo na ushuhuda wa kweli ( siyo kama wale wa kikombe cha Babu) ni vizuri ukaenda mbele zaidi, nakuhakikishia utajiri wa mwendokasi.

Nakutakia siku njema
Sure-Binafsi naamini kama mtu akiweza kugundua dawa ya kisukari,Cancer & HIV lazima awe tajiri wa kutupwa dunian.Hizi changamoto huondoa matajiri wakubwa na watu ambao ni so powerful on earth.Government expenditures on public health huwa inaenda sana kufadhili treatment za haya magonjwa. Fanya researches kidogo-Majority ya watu hufa mapema kwa kutumia tiba ambazo hazijathibitishwa kisayansi kwa utapeli wa wachache.
 
Mimi ninaweza kumtibu kisukari alicho kuwa nacho kwa siku 90 aka miezi 3 na atapona kabisa maradhi yake.
Kisukari kinasababishwa na sumu iliyopo katika Kongoso aka Pancreatic ukiweza kusafisha kongosho umeweza kutibu maradhi ya kisukari. Hospitali Hakuna dawa ya kuwezakutibu maradhi ya Kisukari. Dawa zaasilizipo zakuweza kutibu maradhi ya kisukari ninazijuwa na watu wanatumia na kupona maradhi ya kisukari.



Sasa mkuu umeshaandika articles nyingi humu kwenye forum juu ya kutibu wadudu wa vidonda vya tumbo (H pylori) and nothin works,Sasa hii dawa ya kisukari ndo utaiweza kweli? kila ugonjwa wewe huwa unasema unatibu na mtu anapona ikiwemo kisukari,cancer,HIV nk. It seams wewe si mtu wa kawaida on earth 🤣 🤣
 
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.

Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.

Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.

Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?

Napenda kuwakilisha.
Tiba ya sukari na ushauri wake huwa inapatikana kwenye hospitals tu. Mitishamba imeondoa wengi kwa uzembe-believe me.
Points to note.
* Dawa za mitishamba ambazo hazijathibitishwa huchangia wengi kuharibu figo na ini.
*Sukari isipokuwa controlled na yenyewe pia huaribu figo pamoja na kuleta madhara mengine mwilini.
 
Sasa mkuu umeshaandika articles nyingi humu kwenye forum juu ya kutibu wadudu wa vidonda vya tumbo (H pylori) and nothin works,Sasa hii dawa ya kisukari ndo utaiweza kweli? kila ugonjwa wewe huwa unasema unatibu na mtu anapona ikiwemo kisukari,cancer,HIV nk. It seams wewe si mtu wa kawaida on earth 🤣 🤣
MTU utibu kansa na ukimwi si unakuwa bilionea.
Jamaa naye ni walewale
 
MTU utibu kansa na ukimwi si unakuwa bilionea.
Jamaa naye ni walewale
Yani hiyo hela wakina Bill & Merinda Gates pamoja na Makampuni makubwa ya dawa dunian wamewekeza kwenye tafiti kwa miaka kupata tiba za Kisukari,Cancer,HIV nk.sidhan kama angekuwa na hzo dawa angekuwa anachat na sisi tena hapa JF,Ingekuwa ni habari nyingine kama hao waliogundua chanjo ya CORONA.
 
Yani hiyo hela wakina Bill & Merinda Gates pamoja na Makampuni makubwa ya dawa dunian wamewekeza kwenye tafiti kwa miaka kupata tiba za Kisukari,Cancer,HIV nk.sidhan kama angekuwa na hzo dawa angekuwa anachat na sisi tena hapa JF,Ingekuwa ni habari nyingine kama hao waliogundua chanjo ya CORONA.
Vp wew ukiwa nazo hizo dawa unaweza kujitangaza hadharani
 
Nimegundua tunakosea sana kutibu kisukari kama ugonjwa...kuanzia sasa na kuendelea badili mfumo wako wa maisha kabisaaa ..hautakisikia tena kisukari ...acha sukari,soda, pombe, wanga mwingi ( ugali etc) kama ukiweza acha kabisa wali coz unapandisha sana kisukari..kikubwa ule vyakula recommended kwa mgonjwa wa kisukari bila kusahau bamia na mdalasini(chai)..piga zoezi....kunywa sawa ulizopewa...ukizingatia hayo nakupa mwezi tu itakuwa normal...na ukiwa normal USIRUDIE TENA LIFE STYLE YAKO YA NYUMA....Mimi nilitumia 2 weeks only kutoka 17 hadi normal...Ni mwaka wa pili sasa iko normal....dawa niliacha baada ya miezi 2 .. Usitapeliwe na dawa etc...badili mfumo wako wa maisha only
 
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na n.k.

Baada ya kufanyiwa vipimo ikaoneka sukari yangu iko juu kuliko matarajio hivyo nikaambiwa nirudi kesho yake ili nipimwe tena kabla ya kula.

Hata hivyo sukari ilionekana kuwa 8.4 kabla ya kula. Doctor akanipatia dawa (vidonge vyeupe) kwa description ya kula 1*2, nimetumia siku moja kwa maana nilipata ushauri wa pili ya kuwa nijaribu ku control diet na kufanya mazoezi.

Hata hivyo kuna watu wameniambia naweza pia tibia hiyo hali kwa dawa za miti shamba. Sasa nauliza je kuna mtu anafahamu ya kama kuna dawa zinazosaidia ku control au kutibu tatizo hili?

Napenda kuwakilisha.
Zipo Mkuu
 
Back
Top Bottom