COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,821
Hayo ma alovera Yana uwa Figo kwa miuchungu iliyokithiriPendelea kutafuna aloevera lioshe tafuna na maganda tema, tango usilimenye pia kula na maganda yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ma alovera Yana uwa Figo kwa miuchungu iliyokithiriPendelea kutafuna aloevera lioshe tafuna na maganda tema, tango usilimenye pia kula na maganda yake
Nakushauri kwa mara ya mwisho, humu jf kila mtu ni mjuaji usije sikiliza maoni ya kila mtu utapotea, mtafute MziziMkavuWakuu naomba kujuzwa baada ya tatizo hili kisukari nimekuwa natumia uji wa ulezi kama breakfast, je lishe hiii ya ulezi haiwezi leta shida wakuuuuu?
Baada ya ushauri niliokupa sasa nau unsubscribe uzi wako ukipata mrejesho usisahau kunitag, bye.Wakuu naomba kujuzwa baada ya tatizo hili kisukari nimekuwa natumia uji wa ulezi kama breakfast, je lishe hiii ya ulezi haiwezi leta shida wakuuuuu?
ok kaka nimekuelewa though namtumia ujumbe hajibu toka janaBaada ya ushauri niliokupa sasa nau unsubscribe uzi wako ukipata mrejesho usisahau ku
Nenda Hindu Mandal Hosp. au Regency mkuu,wana clinic nzuri sana za diabetes. Nyumbani tuna wagonjwa wa kisukari ambao wamekutwa nao zaid ya miaka 40 iliyopita na bado wana afya njema kwa kuzingatia masharti ya hospitali na kuepuka madaktari wa uchochoroni.Pia ukiweza nunua mashine ya ku monitor sukari yako mara kwa mara ukiwa nyumbani.Wakuu naomba kujuzwa baada ya tatizo hili kisukari nimekuwa natumia uji wa ulezi kama breakfast, je lishe hiii ya ulezi haiwezi leta shida wakuuuuu?
Hapo unacheza na the same ID.ok kaka
ok kaka nimekuelewa though namtumia ujumbe hajibu toka jana
Ndivyo alivyo huyo sijui anaishi nchi gn mana wasap ukimtumia asubuhi anajibu saa6 usiku, muombe namba ya wasap au nicheki PM nikutumie namba yake.ok kaka
ok kaka nimekuelewa though namtumia ujumbe hajibu toka jana
Mkuu tuheshimiane, mm Mzizimkavu cmjui hata anafananaje, nilipata kumuamini baada ya kutibu ndugu yangu ugonjwa mkubwa tu, lkn humu jukwaani nikiandikaga hv mods huwa wanafuta comment yng ss sijajua ni kwnn, ila jamaa ni daktari mzr tu amini hivyo km hutaki pia wacha usijilazimishe.Hapo unacheza na the same ID.
nimemtumia kwa whatapp lakini hajajibu hadi saiz, nime tuma reminder tena nasubiria tuuuNdivyo alivyo huyo sijui anaishi nchi gn mana wasap ukimtumia asubuhi anajibu saa6 usiku, muombe namba ya wasap au nicheki PM nikutumie namba yake.
Unemsikia mlengwa anakuambia hajibu msg, ss ningekuwa mm kwnn nisimjibu?Hapo unacheza na the same ID.
Endelea kusubiri huwa anachelewa kujibu lkn pia uwe mvumilivu mana jamaa huwa hana habari na mtu ukikata tamaa ndio basi tena, anaweza akakujibu leo alafu kesho akakusahau so nenda naye taratibu.nimemtumia kwa whatapp lakini hajajibu hadi saiz, nime tuma reminder tena nasubiria tuuu
Kwa hyo mtu kutokujibiwa msg ndo kunathibitisha kwamba mtu hawez tumia two different ID? Ngoja niwalete hapa kwenye thread ambao wamekuwa dissapointed na huduma zake nao wanene. kimandokoUnemsikia mlengwa anakuambia hajibu msg, ss ningekuwa mm kwnn nisimjibu?
Mbn wana jf huwa mnaleta masihara kila sehemu.
ok sawaEndelea kusubiri huwa anachelewa kujibu lkn pia uwe mvumilivu mana jamaa huwa hana habari na mtu ukikata tamaa ndio basi tena, anaweza akakujibu leo alafu kesho akakusahau so nenda naye taratibu.
Tatizo kubwa alilonalo Mzizimkavu ni gharama na hicho ndicho watu huwa wanamlalamikia lkn co ufanisi wa dawa zake. Anatibu HIV itakuwa kisukari bhn!!Kwa hyo mtu kutokujibiwa msg ndo kunathibitisha kwamba mtu hawez tumia two different ID? Ngoja niwalete hapa kwenye thread ambao wamekuwa dissapointed na huduma zake nao wanene.
Ss ndugu mtu kuwa against na mtu mwingine hiyo sio suluhisho la kusema huyo mtu hafai, amekataliwa Yesu na Mtume Muhammad S.A.W itakuwa binadamu wa kawaida?Kwa hyo mtu kutokujibiwa msg ndo kunathibitisha kwamba mtu hawez tumia two different ID? Ngoja niwalete hapa kwenye thread ambao wamekuwa dissapointed na huduma zake nao wanene. kimandoko
Hawa wote unaowaita haina mantiki yyte mana watakuja na blaa blaa za hapa na pale hasa chuki binafsi na usikute hata dawa za jamaa hawajawahi kutumia au usikute nao ni waganga lkn mm ninayekwambia hapa ni shuhuda wa macho yangu mawili aaminiye na aamini na asiyeamini na asiamini.
Alafu mkuu nenda uchunguze ID yng haihusiani na mambo ya waganga hivyo sina muda wa kudiscuss upuuzi unaotaka kuleta hapa kwaheri.
Mbona mkuu unatumia energy kubwa sana ku defend,what are hidding? Umeshasema wewe siyo mwenye same ID,then why does it bother you.Hawa wote unaowaita haina mantiki yyte mana watakuja na blaa blaa za hapa na pale hasa chuki binafsi na usikute hata dawa za jamaa hawajawahi kutumia au usikute nao ni waganga lkn mm ninayekwambia hapa ni shuhuda wa macho yangu mawili aaminiye na aamini na asiyeamini na asiamini.