KWELI Kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya saa 72

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Vp Whk ulikua na michubuko??
Ni dawa hizo LA 75 ndio ulitumia?
Vp ulipima baada ya muda gan?
 
Mkuu vipi?
Safi asee.... Kuna issue ilimtokea jamaa ang ikabidi nimconnect kwa mtu wa CTC alilala na mdada ambae ni HIV(+) alianza dawa hizi 39hours after exposure na mpaka sasa yupo kwenye dose.,,, Hizo dawa hapo juu LA75 hutumika kama PEP na ufanisi wake upoje kwa waliowahi zitumia?
 

Mmmh sio wewe mkuu?
 
Ndio mkuu
Nashukuru sana bro... Maana ilikua ni sex baada ya kuona mchubuko kwenye uume wake jamaa ikabidi amtafute dem ampime ndipo kukuta yupo positive....so ikabidi afanye mpango huo ndio kupata hizo ndan ya saa 39 LA75 na leo day 13 yupo kwenye dozi...
 
Nashukuru sana bro... Maana ilikua ni sex baada ya kuona mchubuko kwenye uume wake jamaa ikabidi amtafute dem ampime ndipo kukuta yupo positive....so ikabidi afanye mpango huo ndio kupata hizo ndan ya saa 39 LA75 na leo day 13 yupo kwenye dozi...
Sawa Huwa ni ngumu kupata Ngwengwe Kwa ngono ya Mara Moja tu japo ingawa Huwa pia inatokea.

Ila huyohuyo Demu itakua ni rahisi kama angefanga naye ngono Mara Kwa mara Kwa nyakati tofauti.

Mwanangu, tushitukke , tuakataeni, tusiwahi Kufa.

Ngoma ukiipata sahizi unamiaka yako 30 ... Sawa utatumia dawa ila unakuja kufa miaka kwenye 50 hivi..

Wakati miaka 50 ni umri Sasa wa kurudi kua Kijana huku ukitusua mahela yako na kumjua Mungu .
 
Nashukuru sana bro... Maana ilikua ni sex baada ya kuona mchubuko kwenye uume wake jamaa ikabidi amtafute dem ampime ndipo kukuta yupo positive....so ikabidi afanye mpango huo ndio kupata hizo ndan ya saa 39 LA75 na leo day 13 yupo kwenye dozi...
DR Mambo Jambo quote hapa mkuu
 
Kuna Hawa Wana dawa zinazozuia maambukizi na kuzuia HIV Virus kuongozeka Medicines | Gilead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…