Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Mimi ni mkristo safi tena ninahudumu madhabahuni.Bila kuwasema wakristo au kuiponda imani yao hamujiskii raha😂😂😂Waislamu wa kidgitali mnafurahisha
Niliwahi kuwa muislamu ila sina mpango wa kuwa muumini wa dini au Imani nyingine zaidi ya Yesu.
Nakemea tabia za ujinga na uibilisi ndani ya kanisa