Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Mi ndo naisikia leo

Japo kwa mazingira ya uzazi wa mama na mtoto ukimfanyia hivyo ni ngumu kudhurika kiimani sababu agano la damu tena ya uzazi wa mama na mwanae aisee lazima lishike vizuri sana
Asante kapeace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…