Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Natumai umepata muongozo...
Ila ngoja niandike chochote ili na mimi nihesabike nilichangia...
 
Dah!!! Inasaidia nini?
Placenta ipoje?
Hata najua basi.
Nurse alikuwa amelifunga kwenye mfuko, mzazi keshatoka hospital na kichanga chake ndio nurse kumkimbilia kasahau placenta lake.
Imagine movie ya wazungu 🤣🤣🤣
Ni km linasaidia kumpa nguvu ya kulea sijui. Ht sijafaham
 
Dah! Eti kumpa nguvu ya kulea🤣
Screenshot_20250303_220329_Netflix.jpg
 
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.

Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.

Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.

Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.

Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD GENTAMYCINE mdukuzi ngara23 Kapeace
Imagine mama ni "sero positive" na ni PMTCT-1 anampaka damu mtoto wake....daah baadhi ya mila ni mtihani ......
 
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.

Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.

Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.

Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.

Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD GENTAMYCINE mdukuzi ngara23 Kapeace
Mjeda mambo
 
Mi ndo naisikia leo

Japo kwa mazingira ya uzazi wa mama na mtoto ukimfanyia hivyo ni ngumu kudhurika kiimani sababu agano la damu tena ya uzazi wa mama na mwanae aisee lazima lishike vizuri sana
 
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.

Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.

Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.

Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.

Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD GENTAMYCINE mdukuzi ngara23 Kapeace
Sasa kupakwa huko damu ya uzazi vipi? , kwani mtoto si anatokea huko kwenye uzazi akiwa tayari kajipakaza full damu

Au huwa akitoka huko anakuwa bila tone la damu au kwenye mfuko fulani hivi

Sijui ni ile D yangu ya biology ama la, mi ndio sielewi,

Yaani mfano unitoe kwenye bwawa halafu baada ya kufika nje uchote maji ya kwenye bwawa unipakaze

There is something not clear here🙄
 
Kusikia na kuona vyote ni vitu muhimu sababu vinasababishwa na milango ya fahamu.
Ndio maana nimeuliza wanaojua wajibu.
Watutsi wapo humu watakuhukum!!! Na baada ya kujibiwa utajiongeza na hatimaye wewe utaweza kuielezea vizuri hiyo mila kuliko hata aliyekujibu 😁😁!
 
Kumbe!!!.Na mimi Gamic huwa ni Virgo. Tofauti yangu nawe ni kwamba Ephen ni Virgo mwenye asili ya kike na Mimi Gamic ni Virgo mwenye asili ya kiume. Hata Bikra Maria mama aliyemzaa Yesu Kristo wa kwenye Biblia naye ni Virgo.
Neno "Virgo" linamaanisha "Bikra au Usafi wa roho."

Virgo huwa ni bingwa kuhusu "Uchakataji wa Ingizo" ("Input processing" Uchakataji wa Ingizo unaweza kurejelea mchakato wa kuunganisha fomu ya lugha na maana,au hatua ya awali ya usindikaji wa data kwenye compyuta au hatua ya awali uzalishaji wa bidhaa kiwandani.)

Virgo inatakiwa kujifunza kutoka kwa Gemini kama mimi Gamic ambavyo huwa ninapenda kujifunza kutoka kwa Bantu Lady( Gemini) na Gemini pia anatakiwa kujifunza kutoka kwa Virgo.Gemini yeye ni bingwa wa "Usindikaji wa pato,mapato au Mchakato wa pato" ( "Output processing" Mchakato wa pato unarejelea mchakato wa kubadilisha data ya pembejeo kuwa fomu inayoweza kutumika).

Virgo ndiyo nyota yenye akili sana kuliko akili za nyota zingine.Kila nyota ina akili yake ila hakuna nyota inayoweza kufikia uwezo wa akili ya Virgo,Uwezo wa akili ya Virgo ni mkubwa sana.

Mtu yeyote ambaye ni Virgo huwa ni mtu mwema sana lakini pia Virgo huwa ni mkosoaji-mkali kwa sababu Virgo ana kipaji kizuri sana cha kuchambua mambo(Virgo is a razor-sharp analyst).

Ukosoaji-mkali(razor-sharp analyst) wakati mwingine unaweza kumfanya Virgo kuchukiwa na wale anaowakosoa.Watu wa aina hiyo huwa wanamchukia Virgo kwa sababu hawapendi kuambiwa ukweli maana ukosoaji wa Virgo huwa unalenga kuboresha. Virgo akionja kitu au mtu;kwenye ulimi wake Virgo au milango ya fahamu ya Virgo huwa inahisi ile ladha halisi ambayo ni sifa bora iliyowekwa na Mungu katika kitu hicho au mtu huyo.

Ukweli usiojulikana wa Nyota ya Virgo( Bikra) : Virgos ni baadhi ya wapenzi wasio na tumaini miongoni mwa zile nyota zote kumi na mbili ! Ephen chaki kwa roho yako isiyo na hatia(tumia kalamu yako kuandika;kuandika au maandishi ni baraka ya Virgo.Kuandika hapa ni lugha ya picha,hata unapokuwa unauza sana bidhaa zako kwenye biashara maana yake unaandika stori yako kwa wateja wako).Haijalishi ni mara ngapi "cupid" anapotosha mishale yake,Virgo unaweza kurudisha moyo wako katika hali yako ya ubikra,kisha ufufue ndoto yako ya kupata upendo kamili.

Hii ndio picha inayomuonyesha "cupid" anavyoonekana.Mtazame katika pembe zote kwa kuzingatia pozi alilonalo.Hili ndilo pozi ambalo mtoto anatakiwa awe nalo ili mama mjamzito aweze kujifungua kwa njia ya kawaida na salama.Madaktari wakiona katika tumbo la mama mjamzito mtoto anaupungufu wowote kutokana na hili pozi au mtoto hayuko katika hili pozi,basi itaharibu mchakato(process) mzima wa mama mjamzito kujifungua kwa njia ya kawaida na madaktari wanaweza kuanza kufikiria mama mjamzito ambaye mtoto tumboni hayuko katika pozi hili,ajifungue kwa njia ya upasuaji(operation).
Screenshot_20250304-163030.jpg


Ephen ( Virgo au Gamic) you are a smell of nature but in a sexy way. Ukiona moyo au unatakiwa ujue kwamba moyo wako wa nyama ulitokana na muunganiko kati ya mbegu ya kiume(sperm) na mbegu ya kike (ova) na mwili wako ( moyo wako ) ndiyo vazi. Vazi hili ( moyo,mwili) ndio limefunika uso wa roho yako na kila tendo linalofanyika ndani ya mwili wako kuanzia siku unazaliwa mpaka wakati huu umekua kufikia level fulani ni muujiza wa Mungu aliye ndani yako

Nyota ya Virgo inatawala eneo la tumbo hivyo inatawala kumeng'enya chakula na kufyonza virutubisho viingie ndani ya mwili kulisha viungo vyote vya mwili. Tafakari ni muujiza gani huwa unafanyika,mtu unakula karanga.Karanga ni ngumu lakini zinapoingia tumboni zinameng'enywa na tumbo linachambua virutubisho linaloona vinafaa kwa mwili linavifyonza na linaamua makapi yaliyobaki ambayo hayafai uende chooni ukayatoe!!!

Utamaduni wa wazungu wao waligundua kwamba mtoto anapozaliwa,zile dakika 4 za kwanza baada ya kuzaliwa ndizo zimebeba siri ya mtoto maisha yake yote.Nchi za ulimwengu wa kwanza,huwa wanarekodi kwenye mifumo yao ya afya mtoto amezaliwa saa ngapi,dakika gani.Hizo dakika nne za mwanzo baada ya kuzaliwa mtoto,zimebeba siri kuhusu ishara ya nyota ya mashariki ya mtoto(ascendant sign) na siri kuhusu ishara ya nyota ya mwezi ya mtoto ( moon sign). Wazungu wana application zao zipo hadi google,unajaza tarehe,mwezi,mwaka na muda uliyozaliwa halafu application itakuambia ishara ya nyota yako ya mashariki ni ipi na ishara ya nyota yako ya mwezi ni ipi!!! Maisha ni rahisi sana kwa wazungu!!!

Kuelewa zaidi kuhusu pointi yangu soma Danieli 10:4-6 = Na siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza,nilipokuwa kando ya ule mto mkubwa,Hedekieli, naliinua macho yangu,nikatazama,na kumbe,mtu aliyevikwa nguo za kitani,viuno vyake vimefungwa dhahabu safi ya ufazi; mwili wake pia ulikuwa kama zabarajadi safi, uso wake( hapa kwenye uso kuwa makini kuweza kutofautisha kati ya uso wa ulimwengu wa roho na uso wa ulimwengu wa mwili. Hapa katika mstari wa Danieli ana maanisha uso wa ulimwengu wa roho na sio uso wa mwili unojiona kwenye kioo ukiwa unajipodoa) mfano wa umeme,na macho yake kama taa za moto,na mikono yake na miguu yake rangi yake kama shaba iliyosuguliwa sana,na sauti ya maneno yake kama sauti ya umati wa watu."

24th January kila mwaka huwa ni muongozo mzuri kwa Virgo katika kutimiza malengo husika ya mwaka mzima. Hii nimewafunulia siri Virgos wenzangu.

Nyakati za sasa,Bikra(Virgo,Ephen au Gamic) ana ukuaji unaowezekana katika tija kwa kuzingatia ufanisi na huduma kwa wengine( In our current era;Virgo, Ephen or Gamic has a potential boost in productivity with a focus on efficiency and service to others).
 
Back
Top Bottom