Kuna faida gani kuzikwa na viungo ambavyo Kuna watu wanavihitaji? Iletwe sheria ya kuwapa incentives (motisha) watu wataovigawa wakifa.

Kuna faida gani kuzikwa na viungo ambavyo Kuna watu wanavihitaji? Iletwe sheria ya kuwapa incentives (motisha) watu wataovigawa wakifa.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Sioni faida yoyote ya mtu kuzikwa na vium=ngo ambavyo kuna watu wanavitafuta kwa udi na uvumba ili kutibu matatizo yao.

Sote tunajiuonea, uhaba wa viungo umefanya kuwepo kwa soko haramu kwa mfano makundi ya kigaidi kama Boko Haram hukamat watu na kuwanyofa viungo na kuviuza kwa bei ili kufadhili shughuli zao za kigaidi

Nadhani ni muda mwafaka umefika wa watu kujisajili kuvigawa endapo wakifa kwa makubaliano yaincentives

Incetives hizi ziwe kama:

  • kupunguziwa au kufutiwa baadhi ya kodi
  • kupunguziwa am kusamehewa kabisa vifungo kulingana na uzito wa kosa
  • kupewa upendeleo kwenye ajira
  • kupewa mikopo yenye riba ndogo

kwa sasa hali ni mbaya sana kwa waohitaji viungo, mfano figo na moyo ni viungo ambavyo ni takribani milioni 100 na hii ni kutokana na supply yake kuwa ndogo huku demand (uhitaji) ni mkubwa sana hivyo kusababisha bei kuwa juu.
 
Hiyo inaweza kupelekea kuzuka kwa biashara halamu ya viungo vya binadamu mahospitalini kwa kuua wagonjwa makusudi ili tu kipatikane kiungo fulani kinachohitajiwa na bwenyenye fulani.
 
Hiyo inaweza kupelekea kuzuka kwa biashara halamu ya viungo vya binadamu mahospitalini kwa kuua wagonjwa makusudi ili tu kipatikane kiungo fulani kinachohitajiwa na bwenyenye fulani.
Hapana umekosea, kama ingekua ni hivi basi wagonjwa wengi wenye kundi la damu "O" wangeuliwa sana.

Kwa sasa hali ndio mbaya maana supply ya hivi viungo ni ndogo na makundi ya kigaidi kama boko harama huwanyofoa mateka wake viungo ili kwenda kuviuza kwa bei ghali.

Kukiwa na supply kubwa hizi biashara zitabuma
 
Sioni faida yoyote ya mtu kuzikwa na vium=ngo ambavyo kuna watu wanavitafuta kwa udi na uvumba ili kutibu matatizo yao.

Sote tunajiuonea, uhaba wa viungo umefanya kuwepo kwa soko haramu kwa mfano makundi ya kigaidi kama Boko Haram hukamat watu na kuwanyofa viungo na kuviuza kwa bei ili kufadhili shughuli zao za kigaidi

Nadhani ni muda mwafaka umefika wa watu kujisajili kuvigawa endapo wakifa kwa makubaliano yaincentives

Incetives hizi ziwe kama:

  • kupunguziwa au kufutiwa baadhi ya kodi
  • kupunguziwa am kusamehewa kabisa vifungo kulingana na uzito wa kosa
  • kupewa upendeleo kwenye ajira
  • kupewa mikopo yenye riba ndogo

kwa sasa hali ni mbaya sana kwa waohitaji viungo, mfano figo na moyo ni viungo ambavyo ni takribani milioni 100 na hii ni kutokana na supply yake kuwa ndogo huku demand (uhitaji) ni mkubwa sana hivyo kusababisha bei kuwa juu.
Kama ulizaliwa na viungo hivyo, kuna haja gani ya kuviacha nyuma wakati ulikuja navyo?
 
Hiyo inaweza kupelekea kuzuka kwa biashara halamu ya viungo vya binadamu mahospitalini kwa kuua wagonjwa makusudi ili tu kipatikane kiungo fulani kinachohitajiwa na bwenyenye fulani.
Umeongea fact mkuu
 
Kuna faida maana viungo ni vyao, alafu mtu kama muda wake umefika kwanini alazimishe kuishi kwa kuchukua viungo vya mwingine? Kila mtu atumie viungo vyake alivyopewa na mwenyezi Mungu maana viungo vya binadamu havipatikani kwa kuchukua vya mtu mwingine hata wale wanaopewa viungo vya watu wengine ni watu wabaya sana kama ni damu ni sawa maana inaweza kuongezeka nyingine baada ya kutoa lakini siyo kukwapua viungo vya mtu mwingine Ili kulazimisha kuishi.
 
BIG NO! Sio kwa bara la Afrika, bado hatujafikia kwenye ustaarabu huo.
 
Sioni faida yoyote ya mtu kuzikwa na vium=ngo ambavyo kuna watu wanavitafuta kwa udi na uvumba ili kutibu matatizo yao.

Sote tunajiuonea, uhaba wa viungo umefanya kuwepo kwa soko haramu kwa mfano makundi ya kigaidi kama Boko Haram hukamat watu na kuwanyofa viungo na kuviuza kwa bei ili kufadhili shughuli zao za kigaidi

Nadhani ni muda mwafaka umefika wa watu kujisajili kuvigawa endapo wakifa kwa makubaliano yaincentives

Incetives hizi ziwe kama:

  • kupunguziwa au kufutiwa baadhi ya kodi
  • kupunguziwa am kusamehewa kabisa vifungo kulingana na uzito wa kosa
  • kupewa upendeleo kwenye ajira
  • kupewa mikopo yenye riba ndogo

kwa sasa hali ni mbaya sana kwa waohitaji viungo, mfano figo na moyo ni viungo ambavyo ni takribani milioni 100 na hii ni kutokana na supply yake kuwa ndogo huku demand (uhitaji) ni mkubwa sana hivyo kusababisha bei kuwa juu.
Mkuu una uhakika kwamba ukifa husikii maumivu?
 
Hakuna haja ya kupitisha sheria hiyo wala nini,cha kufanya andika wosia wako sema ukifa figo na maini tuvipeleke hospital vikasaidie wahitaji.basi ukifaga ukapelekwa mochwari vitatolewa kwa maelezo uloweka kwenye wosia.
 
Sioni faida yoyote ya mtu kuzikwa na vium=ngo ambavyo kuna watu wanavitafuta kwa udi na uvumba ili kutibu matatizo yao.

Sote tunajiuonea, uhaba wa viungo umefanya kuwepo kwa soko haramu kwa mfano makundi ya kigaidi kama Boko Haram hukamat watu na kuwanyofa viungo na kuviuza kwa bei ili kufadhili shughuli zao za kigaidi

Nadhani ni muda mwafaka umefika wa watu kujisajili kuvigawa endapo wakifa kwa makubaliano yaincentives

Incetives hizi ziwe kama:

  • kupunguziwa au kufutiwa baadhi ya kodi
  • kupunguziwa am kusamehewa kabisa vifungo kulingana na uzito wa kosa
  • kupewa upendeleo kwenye ajira
  • kupewa mikopo yenye riba ndogo

kwa sasa hali ni mbaya sana kwa waohitaji viungo, mfano figo na moyo ni viungo ambavyo ni takribani milioni 100 na hii ni kutokana na supply yake kuwa ndogo huku demand (uhitaji) ni mkubwa sana hivyo kusababisha bei kuwa juu.
Unaweza kuwa organ donor ila lazima uutunze mwili wako vizuri ili organs zako ziwe useful sio uachie watu malapulapu
 
Yeah..muhusika mwenye viuogo assign declaration form
 
Sioni faida yoyote ya mtu kuzikwa na vium=ngo ambavyo kuna watu wanavitafuta kwa udi na uvumba ili kutibu matatizo yao.

Sote tunajiuonea, uhaba wa viungo umefanya kuwepo kwa soko haramu kwa mfano makundi ya kigaidi kama Boko Haram hukamat watu na kuwanyofa viungo na kuviuza kwa bei ili kufadhili shughuli zao za kigaidi

Nadhani ni muda mwafaka umefika wa watu kujisajili kuvigawa endapo wakifa kwa makubaliano yaincentives

Incetives hizi ziwe kama:

  • kupunguziwa au kufutiwa baadhi ya kodi
  • kupunguziwa am kusamehewa kabisa vifungo kulingana na uzito wa kosa
  • kupewa upendeleo kwenye ajira
  • kupewa mikopo yenye riba ndogo

kwa sasa hali ni mbaya sana kwa waohitaji viungo, mfano figo na moyo ni viungo ambavyo ni takribani milioni 100 na hii ni kutokana na supply yake kuwa ndogo huku demand (uhitaji) ni mkubwa sana hivyo kusababisha bei kuwa juu.
Kufa basi Ili tukutoe
 
Hapana umekosea, kama ingekua ni hivi basi wagonjwa wengi wenye kundi la damu "O" wangeuliwa sana.

Kwa sasa hali ndio mbaya maana supply ya hivi viungo ni ndogo na makundi ya kigaidi kama boko harama huwanyofoa mateka wake viungo ili kwenda kuviuza kwa bei ghali.

Kukiwa na supply kubwa hizi biashara zitabuma
Huu nauita ubinafsi. Nife ili wewe upone, kwanini?
 
Back
Top Bottom