sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kuna nyumba zimezoeleka miaka nenda rudi kuuza bangi na gongo mitaani, hadi sasa ukienda zinaendelea, unaweza kukuta watoto ndio wanaoziendeleza baada ya wazazi wao kustaafu.
cha ajabu mapolisi wapo, na tena huwa wanabadilishwa wanakuja wengine wapya.
Wote tunajua kuuza huu mmea ama gongo kunaweza mpeleka mtu jela lakini hizi familia zinafanya haya mambo wazi wazi bila kificho, wewe ukiiga unakuta baada ya masaa kadhaa tu umeshughulikiwa
hawa wauza gongo na bangi wana survive vipi