cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Kichwa cha panzi huwezi kujua manufaa ya hii thread. Endelea kuvuta shuka sebuleni kwa shemeji yako[/
mwezi mchanga wewe bilashaka mbweha wa kijani endelea kulelewa na mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha panzi huwezi kujua manufaa ya hii thread. Endelea kuvuta shuka sebuleni kwa shemeji yako[/
mwezi mchanga wewe bilashaka mbweha wa kijani endelea kulelewa na mkeo
Mbona kama code ngumu kuifungua?Ila afadhali umefungua thread sisi tunaotoka Dar Dom Singida au Singida Dom Dar huwa tunakwama sana ukishapita Mdaula kutoka Moro au ukitoka Chalinze hasa usiku. Nafikiri labda ukiacha hili tatizo lililowasilishwa leo pia kuna tatizo jingine pale. Na hili nalo liangaliwe.