Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Qeka hizo nondo zako.Ukibanwa na mkono wa dola kwa kuweka uzushi utapata kuelewa maana ya sheria mpya ya habari
Ukiandika kitu ujue utawajibika kutolea Maelezo beyond reasonable doubt

Pia ujue thread kama hizi ambazo hazina substance in it zinamletea usumbufu Melli.Anajaribu kujali Wateja wake lkn Wateja wenyewe ndio tu amuangusha kwa kuendelea kufanya makosa

Take time to understand anything before posting it to social media
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions.Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!

Basi siyo tetesi maana ni taarifa za kuaminika.(Kwa mujibu wa maelezo yako)
 
Tumekupata mkuu,ila Waziri hawezi under any circumstances kuja JF na kusema kwamba revenue collections zinapikwa or cooked au doctored kama unavyosema mwenyewe ili zionekane za juu.Zipo taifa nyingi zinazopikwa sio hii tu.Kwa hiyo unaposoma taifa yeyote uwe na makapu mawili.Hata hivyo taarifa hii sio ngeni.Zipo taifa kwamba hata serikali ya awamu ya nne ilikuwa inafanya mchezo huo.Hata hivyo mchezo huu ambao ni mchafu, unafanywa na serikali nyingi duniani ili ku-win support ya wananchi.
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
 
Msianini mambo ya kukanusha.hayuko mwizi abayekuba kwamba yeye ni mwizi. Mwizi ukimwambia yeye ni mwizi , lazima atagombana na wewe.Lakini nafsini yake anajuwa kuwa yeye ni mwizi.
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!

Huu ndio uhuru wa kutoa maoni mnao ulilia kila leo? huu ni uhuru wa kusambaza uzushi...
 
This is serious allegation ... Hopefully wahusika watatoa maelezo ya kina ... Dr. Mpango ni mweledi ...
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!

Mwisho wa mwezi wa sita 2016, barua zilitembea toka TRA kwenda makampuni nakubwa ili walipe kodi ya mwezi uliofuata estimstes. Hii ni kwa sababu wangefunga mwaka bila kutimiza malengo ya makusanyo.
Mfano tu ni Tigo walitoa 3B, Airtel 2B na voda 3B. Data zote za nakusanyo ya kidi ni feki zinapikwa wananchi msije kupanic
 
Mie naona mishahara inalipwa mapemaaa!watoto wanaenda shule bure!ndege zinanunuliwa,ct scan&MRI,mabweni UDSM,barabara zinakamilika tu,miradi ya maji!Yaani kama fake wenyewe ndio hii basi waendelee tu!mambo yako poa saana
vipi kuhusu ajira mpya kimya mpaka leo!

vipi kuhusu annual increment toka 1 July kimya mpaka leo!

vipi kuhusu kupanda madaraja toka mwezi wa 2 mpaka leo kimya, waliopanda walishushwa tena!

vipi kuhusu mikopo ya wanafunzi kupungua?

vipi kuhusu mikopo benki kuzuiliwa??

vipi.......


vipi........

vipi........!
 
Jina Langu Ni Mokili Fumulauhi, kwani nani Kakuambia sio Jina langu, Ulitaka liwe nini jina Langu ndio uamini? kama Mtu anaitwa Pombe au Maufuunguo na huhoji jina lake kama ni la kweli langu kwanini unahoji Ulitaka Niitwe Juma au John ndio uamini?
JF kuna verified and non-verified users. you are in the latter category.
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Nadhani ifikie mahala tuwe na uelewa wa kuosha, cc mtu povu linamtoka eti TRA wanadanganya- na kama serikali inadanganya manake ni kusubiria kwan hata mishahara haitalipika-kwa kuwa shuguli zote zinaendelea vema- hakuna haja ya kutoa povu.
 
Hawana sababu ya kututangazia kwamba wana pesa wakati hizo pesa hazi reflect maisha yetu ya kawaida kwenye huduma za kijamii
Kwani uliambiwa fedha ikikusanywa inabidi igawiwe kwa kila mtu ? Tafuta namna bora ya wewe kujiingizia kipato. Unaona jinsi pesa itakavyo reflect kwako
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
dude,siyo hivyo tambo zote za makusanyo ambayo zimekuwa zinasikika kuwa consistence yake ni interms of trillion,kwa kila mwezi ingebiidi tuone impact yake kwenye maisha ya wananchi,ukilinganisha na kipindi cha makusanyo ilipokuwa interms of billions,
hata kama siyo mgawo kwa kila mtu,hivi sasa watu tupo kwenye double economic entendre,kwamba ni kipindi cha recession au austerity au au sasa tuko kwenye zombie economy,hali ilivyo kwa majority mitaani,get me dude
 
Kwani uliambiwa fedha ikikusanywa inabidi igawiwe kwa kila mtu ? Tafuta namna bora ya wewe kujiingizia kipato. Unaona jinsi pesa itakavyo reflect kwako
Bila shaka umetumwa na babu yulee?Kwani JK.Nyerere alisema nini maana ya maendeleo?
 
Back
Top Bottom