Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Kuna sababu ya lazima sasa sheria mpya ikaze zaidi.Watu waandike vitu wakiwa na uhakika navyo
 
Hizo pesa /makusanyo yanamhusu mpaka ndugu yako alie kijijini huko ,inamaana haufahamu kazi ya hayo makusanyo Mkuu ?..Hebu soma tena ulicho andika kama kinaleta mantiki..
lumumba hawaelewi kabisa hayo mambo mkuu
 
Usipofanya kazi halali au kujiongeza ujishughilishe utaona dunia chungu hiyo sio tz inaapply popote pale

Makusanyo ya kodi ni lazima ili Huduma za kijamii ziboreshwe.Mfano Elimu,Huduma za afya na miundombinu.

Mengine Fikirisha kichwa vitu gani vinakufanya uishi hadi muda huu pindi vikisimama maisha yataathirika moja kwa moja na vina mkono wa serikali.Ulinzi ukizorota tu utakuja hapa kupiga yowe huo ni mfano tu
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
kichwa chako kimejaa wadudu wanaosumbuaga smart phone yangu, kirus mbaya sana, mpaka natamani kuipiga na rungu
 
Kama kweli basi hii itakua ni hadithi ya kujitekenya na kucheka mwenyewe
 
Hizo pesa /makusanyo yanamhusu mpaka ndugu yako alie kijijini huko ,inamaana haufahamu kazi ya hayo makusanyo Mkuu ?..Hebu soma tena ulicho andika kama kinaleta mantiki..
Sasa ili uamini ulichoambiwa ni sahihi unaishauri serikali ikushirikishe wakati inahesabu pesa za kodi ilizopata au aitwe waziri kivuli wa fedha wa chadema akahakikishe kwa sab kila hesabu inayotoka ni uongo!!! Nakushauri achana na idadi ya pesa inayopatikana fuatilia matumizi yake tu.
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Kwa hiyo itakuwa kila uzushi mnaosikia mnataka "waziri aje hapa akanushe!!? " Hovyo kabisa, ondoa jina feki ndipo umwite waziri
 
Thread za namna ndizo zinazoipotezea JF credibility yake.
 
Kuna sababu ya lazima sasa sheria mpya ikaze zaidi.Watu waandike vitu wakiwa na uhakika navyo
Kweli kabaisa, watu wanaandika kwa hisia badala ya uhalisia!!
Napenda uhuru wa kujieleza, lakini si kwa namna hii
 
Ni kama baba amepata kazi lakini bado watoto wanalia njaa hawezi kununua hata mkate. Ni uongo hana kazi.
 
Kila hoja ina mtizamo wake uwe hasi au chanya lakini kuna hoja ya msingi imeongelewa.Sasa nani athibitishe ni kweli au si kweli ni wao wenyewe wenye kuujua ukweli.Kuna viashiria vya hoja mahali fulani,lakini bado kuna maswali mengi yasiyo na majibu hapo.Hata hivyo lisemwalo lipo kama halipo basi li njiani linakuja.Tuache itikadi za kisiasa tuangalie hali ya uchumi wetu pamoja na viashiria vyake vyote(performance indicators).Hivyo hivyo tuangalia upande wa biashara na masoko ya ndani na nje,Secta ya kilimo mathalani hiki kilimo chetu cha kutegemea mvua.Vyote hivyo vitatuongoza kuweza kujua tunasonga mbele kwa kasi gani au tumesimama tu au hata tunarudi nyuma.Ni dhahiri kupanda au kushuka kwa uchumi kuna athari katika mapato yetu ya ndani na yale ya nje.Haihitaji kuweka itikadi za kisiasa kufanya tathmini ndogo kama hii.Kama kuna uongo katika hili litadhihirika pasina kujificha hivyo hivyo kama ni kweli inafanyika hivyo basi nalo tutalijua tu.Ni swala la muda na subira.
 
Sasa ili uamini ulichoambiwa ni sahihi unaishauri serikali ikushirikishe wakati inahesabu pesa za kodi ilizopata au aitwe waziri kivuli wa fedha wa chadema akahakikishe kwa sab kila hesabu inayotoka ni uongo!!! Nakushauri achana na idadi ya pesa inayopatikana fuatilia matumizi yake tu.

Ni mara ngapi imewahi kulalamikiwa Bungeni na Wabunge hata wa CCM kuwa yalio ahidiwa na Mawaziri ktk Bajeti zao hayajafikishwa kunako stahili ?..Hukusikia Wabunge wakisema hawatopitisha Bajeti ya Waziri flani mpaka alicho ahidi kitekelezwe ktk Jombo la Mbunge husika ?..

Tunakusanya nyingi sana kwa matamko/taarifa ,ila matumizi ndio huwa umbua wazi wazi...
 
Mimi nilianza kujua Tuna kiongozi wa namna gani pale aliposema kwamba Wabunge waliotoka nje wamefunika midomo hawakutaka ajenge viwanda pale pale Akiri ilinambia Kwa uhongo ule nilijua Miaka mitano Tumeshaliwa
 
Ni mara ngapi imewahi kulalamikiwa Bungeni na Wabunge hata wa CCM kuwa yalio ahidiwa na Mawaziri ktk Bajeti zao hayajafikishwa kunako stahili ?..Hukusikia Wabunge wakisema hawatopitisha Bajeti ya Waziri flani mpaka alicho ahidi kitekelezwe ktk Jombo la Mbunge husika ?..

Tunakusanya nyingi sana kwa matamko/taarifa ,ila matumizi ndio huwa umbua wazi wazi...
Unachekesha sana kwani kinachokusanywa kinatosheleza budget mama? Asilimia zaidi ya 40 ya bajeti inatoka kwa wahisani na wakati wote wahisani hawaleti misaada au mikopo kwa wakati na iliyotimilifu hivyo kusababisha maeneo yote yanayotegemea pesa kutoka serikali kuu kutopata kiasi kilichotengwa ama kuombwa.
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
We ndo jinga kweli may asjue uharisia wa mapato na makusanyo ya nchi yake au ww ni pumbavu
 
Unachekesha sana kwani kinachokusanywa kinatosheleza budget mama? Asilimia zaidi ya 40 ya bajeti inatoka kwa wahisani na wakati wote wahisani hawaleti misaada au mikopo kwa wakati na iliyotimilifu hivyo kusababisha maeneo yote yanayotegemea pesa kutoka serikali kuu kutopata kiasi kilichotengwa ama kuombwa.

Sasa kwa muwahadae Wananchi kwa kupanga Bajeti kubwa ilikhali mnawategemea Wahisani ?..

Hebu nisaidie labda mim ndio sielewi..
 
Sasa kwa muwahadae Wananchi kwa kupanga Bajeti kubwa ilikhali mnawategemea Wahisani ?..

Hebu nisaidie labda mim ndio sielewi..
Toka enzi za nyerere budget ya tz inategemea kwa asilimia kadhaa donors na mikopo na ni africa nzima inategemea donors wa ulaya bila misaada mikopo misaada usingeona ufanisi wa miradi mingi mikubwa unayoiona kwa mfano barabara za mwendo kasi madaraja kadhaa mashule mahospital hata vifaa vya kijeshi
 
WEe
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda[/QUOTE
We ndio junk kabisa aisee. Huoni impact kwa taifa kama serikali inakuwa inatoa taarifa fake?
Unajificha katika kichaka cha ati uko mambo mengi!! Kituko wewe!
 
Toka enzi za nyerere budget ya tz inategemea kwa asilimia kadhaa donors na mikopo na ni africa nzima inategemea donors wa ulaya bila misaada mikopo misaada usingeona ufanisi wa miradi mingi mikubwa unayoiona kwa mfano barabara za mwendo kasi madaraja kadhaa mashule mahospital hata vifaa vya kijeshi

Bado haujajibu swali nililo kuuliza Mkuu .Kwa nini mpange Bajeti kubwa ilikhali pesa za kuitekeleza hiyo bajeti hamna ?..

Haya makusanyo makubwa mnayo tutangazia mbona hayaendani na hali halisi ndani ya Sirikali ?..
 
Back
Top Bottom