Kina fununu kuwa MOKILI FUMULAUHI anafanya mapenzi na mke wa jirani yake tena rafiki yake sanaaa...pia kwa sasa ana mpango wa kumuua huyo rafiki yake ili amiliki moja kwa moja mke huyo pamoja na mali zote za huyo best wakeKuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Hebu tumuombe huyu Mokili aje akanushe taarifa hizi la sivyo tutaendelea kuziamini