Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Kina fununu kuwa MOKILI FUMULAUHI anafanya mapenzi na mke wa jirani yake tena rafiki yake sanaaa...pia kwa sasa ana mpango wa kumuua huyo rafiki yake ili amiliki moja kwa moja mke huyo pamoja na mali zote za huyo best wake
Hebu tumuombe huyu Mokili aje akanushe taarifa hizi la sivyo tutaendelea kuziamini
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda

Babeli,
Kwanza unajua maana ya hilo jina? The Bible says Babeli ni mama wa Makahaba(a mother of harlots)! That' s what you are! Kama hujui umuhimu wa Makusanyo ya Kodi za Serkali na impact yake for individuals basi your brain is already full of junks!!!
Hivi
Je, unajua kwamba kuna Vijana wamekosa mikopo ya kujiunga na Vyuo vikuu kwa serikali kukosa fedha?
Je, unajua mpaka sasa Serikali yako imetoa 20% ya Bajeti kwa mwaka huu wa Fedha 2016/17 kwa ufinyu wa Bajeti?
Je, unajua mpaka sasa kuna uhaba mkubwa wa madawa mahospitalini kwa serikali kushindwa kuwalipa MSD?
Je, unajua kwamba mpaka sasa ajira nyingi zimesimama kwa vile serikali haina fedha ya kuajiri watumishi?

Kama una majibu ya hoja hizi naomba utupatie ili kuthibitisha kuwa your brain is not FULL OF JUNKS!
Karibu.
 
Wazee wastaafu wanahangaika kufuatilia mafao yao wananaambulia maneno ya kashfa
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Sasa wewe umejificha nyuma ya key board huonekani, lakini unatka waziri ajitokeze wazi wazi kujibu hoja yako? Onesha jina lako halali wazi wazi, toa hoja yako ili waziri mwenye dhamana naye ajitokeze hadharani kujibu hoja yako. Vinginevyo utajibiwa na mawaziri waliojificha nyuma ya key board kama wewe.
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Yaani unategemea hata kama kweli wanafanya hivyo Waziri aje akiri kwamba kweli wanafanya hivyo? You are under estimating their intelligence.
 
Hivi imekuwaje jamaa wameamua kuficha makusanyo ya mwezi novemba? Au wanasubiri wayachanganye na ya dec ili yapande kidogo? Mbwembwe zote za kututangazia mapato na natumizi kila mwezi kumbe ilikuwa show off tu. Mlitak muonekana mmeongeza mapato hewa?
 
Chadema limegeuka chama la kuombea mabaya nchi

Mambo mengine bora kutochangia.
1. Huna uthibitisho mtoa mada ni mwanachama wa Chadema.
2. Hata kama ni mwana Chadema alichoandika ni swali binafsi au msimamo wa chama?
3. Kuuliza uhalali na usahihi wa mapato sio kuitakia mabaya nchi.
 
Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
Toa uendawazimu, ninyi ndiyo mnaharibu maana ya JF. Nani anachukia taarifa kama hizo.
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Kenyata aliwahi kusema, viongozi wa Tanzania wanatawala marehemu, na kwa style ya watu Kama ww inanifanya niamini. Kwani hujui kuwa Kodi zinazokusanywa ni Mali ya wananchi?. Sasa Kama unafikiri kuwa makusanyo ya kodi hayatuhusu, basi una tofauti gani na Marehemu?. Imenistua sana, Kama bado tuna watu wa dizain hii kwa karne hii!
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!


Ungeweka ushahidi tungekuelewa lakini hizo zako ni porojo na kubwabwaja bila mpango.

Sasa unataka kwa kuhororoja huko ujibiwe nini na waziri husika?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ungeweka ushahidi tungekuelewa lakini hizo zako ni porojo na kubwabwaja bila mpango.

Sasa unataka kwa kuhororoja huko ujibiwe nini na waziri husika?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sister unajua mimi sio mjinga, na najua unajua ningekuwa natafuta sifa ningemwaga kila kitu. U n me knows the truth!
 
J
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Humu hatutaki fununu
Tunataka taarifa sahihi
Watu kama nyie ndio mnaoshushia heshima forum hii
Na kumpa shida bwana Melo
Acha kutuletea thread za kipuuzi
 
bajeti ya serikali ya 2016/2017 imekopewa mara ngapi kujaziwa? kuna hii ya juzi ya shs Bilioni 360 kutoka ADB na kuna ile mabilioni ya shilingi kutoka Exim China nk nk. Je, baada ya miaka mitano tutakuwa tumekopa trilioni ngapi? nahisi sio chini ya shs trilioni 10
 
Yaani hii ni sawa na mtu unaweka hela kwa dro baadae unaenda kwa mbinu za kiwizi unaiba ilihali unaishi mwenyewe. Afu kichwani unakuwa unaamini kuwa zile hela bado zipo kwa dro.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mbavu zangu
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Wao hata waki fake mwisho wa siku wananchi wanategemea maendeleo na huduma za kijamii na watumishi wanategemea mishahara fullstop.
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Mungu ànakuoña anakuoña wew
 
Back
Top Bottom