Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Hapa km una TIN no hlf hukulpia biashr yako...
Imekula kwako..
Hii party ya kmy2
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Ndio Umeandika Nini? Hovyo
 
Leo Ndio unastuka? Mbona linajulikana kitambo hilo, Serikali haijawahi kukusanya 1 T hata mwezi mmoja,
 
Kama ni kweli ni basi wamekuwa adicted kupika kila kitu kuanzia Research, matokeo, habari na mapato. Ila njia ya muongo ni fupi sana. Watu wamewanyamazia ili waje wawalipue 2019.
 
Angalia michango ya wahanga wa tetemeko kilichokusanywa ni zaidi ya bilioni 16 lakini tukaambiwa zimekusanywa 5.4 billioni tu. Huu ni ushahidi tosha kwamba wanacheza na namba vile watakavyo wao kama ni kuongeza namba ama kupunguza kwa faida yao.

Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
 
Cheap propaganda.Acha upotoshaji take time to gather your facts before disclosing such kind of rumour
... Kwa hiyo ITV wakiorusha hiyo coverage ni waongo? Ukweli ingawa haupendwi huwa haujifichi...
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
duh yaani akili kama zako ni janga
hujui kuwa fedha za kodi zinagawiwa kwa wananchi kupitia huduma za jamii
 
Yule Kayombo amekuwa mwana sanaa na mwana mitindo! Anadanganya kweupe na Mungu anamuona!! Kuanzia Nov waje hapa waone aibu waseme ukweli! Ime drop chini ya average alioacha JK ya 850Bil ngoma yao below..........
Sisi akina Mdudu tulilifahamu hili mapema. Serikali hii ni ya kilaghai, kwani hupenda kusifiwa tu na ndiyo maana wamekuwa na tabia ya kupika takwimu.
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Mie naona mishahara inalipwa mapemaaa!watoto wanaenda shule bure!ndege zinanunuliwa,ct scan&MRI,mabweni UDSM,barabara zinakamilika tu,miradi ya maji!Yaani kama fake wenyewe ndio hii basi waendelee tu!mambo yako poa saana
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
We n mzma kwel? Ninamashaka makubwa sana akil Yako, mapato ya TRA hayana mchango kwa jamii?
 
Siku hizi imekuwa kero na hayo makusanyo daah... Yani mpaka ukipaki gari nje ya geti ya nyumba yako unakuta ushawekewa parking ticket ulipie...
 
Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
Huyo DC anastahili kutumbuliwa Kwa kuhujumu wananchi.......
 
Chadema limegeuka chama la kuombea mabaya nchi
Acheni ujinga nyie si mlisema hamna shida na millions za mcc wala misaada mnataka nchi hii tuwe tuwe kama mashetani sasa kiherehere cha nini mambo yanapokwama semeni ukweli tuu tumeelemewa.
 
Inawezekana wanakusanya kweli, maana TRA wenyewe, police revenue authority na wale wanaotufungia magari yetu barabarani...
 
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Unajua hapa kijijini kuna mjukuu ametoka mjini,aliniuliza swali...Babuu hivi haya maTrilioni yanayokusanywa huwa yanakwendaga wapii?
 
Back
Top Bottom