Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Umeandika Nini? HovyoKuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Inakera kufichua siri eh! Am sorry!Ndio Umeandika Nini? Hovyo
Sasa chadema imeingiaje hapa...Ivi mapato ya mwezi november yanasoma trillioni ngap?
Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
Pesa nyingi za mapato anapewa lipumbaKama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
... Kwa hiyo ITV wakiorusha hiyo coverage ni waongo? Ukweli ingawa haupendwi huwa haujifichi...Cheap propaganda.Acha upotoshaji take time to gather your facts before disclosing such kind of rumour
duh yaani akili kama zako ni jangaHata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Sisi akina Mdudu tulilifahamu hili mapema. Serikali hii ni ya kilaghai, kwani hupenda kusifiwa tu na ndiyo maana wamekuwa na tabia ya kupika takwimu.
Mie naona mishahara inalipwa mapemaaa!watoto wanaenda shule bure!ndege zinanunuliwa,ct scan&MRI,mabweni UDSM,barabara zinakamilika tu,miradi ya maji!Yaani kama fake wenyewe ndio hii basi waendelee tu!mambo yako poa saanaKuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
We n mzma kwel? Ninamashaka makubwa sana akil Yako, mapato ya TRA hayana mchango kwa jamii?Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Huyo DC anastahili kutumbuliwa Kwa kuhujumu wananchi.......Kama wanaweka ndani Mwandishi anayeripoti kuwa eneo fulani lina uhaba wa maji ili kuficha tatizo basi hata hilo la Mapato ya TRA hawataki tujue Ukweli.
Acheni ujinga nyie si mlisema hamna shida na millions za mcc wala misaada mnataka nchi hii tuwe tuwe kama mashetani sasa kiherehere cha nini mambo yanapokwama semeni ukweli tuu tumeelemewa.Chadema limegeuka chama la kuombea mabaya nchi
Unajua hapa kijijini kuna mjukuu ametoka mjini,aliniuliza swali...Babuu hivi haya maTrilioni yanayokusanywa huwa yanakwendaga wapii?Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya hivi zaidi ya Mara tafu. Ningependa Waziri anayehusika aje hapa akanushe, au kama ni kweli atoe sababu za msingi za kufanya hivyo!
Nahisi hujutambui kabisa na kwa umri huo hutakaa ujitambue tena milele!Kweli kichwa chako kina mambo mengi!