Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu

Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini

Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
 
Nimeona, ni Tesla Model X
IMG_0928.png

It’s expensive
 
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu

Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini

Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
Mleta mada upo sahihi. Hata hu Scandinavia ukimiliki Tesla unaheshiiwa sembuse huko kwa kina adriz Wang'atwa na mbu?
 
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu

Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini

Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
Picha ikowapi tufanye tathimini.
 
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu

Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini

Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
Atakuwa billionaire mstaarabu RRONDO kaingiza huo mchuma.
20241213_115037.jpg
 
Back
Top Bottom