Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

Hiyo ikikataa kuwaka tu hakuna fundi wa kuiwasha
Bongo bado sana
Tumeni vijana wakasomee ufundi nje
Mabalozi wenu wamelala tu huko nje
 
Mleta mada upo sahihi. Hata hu Scandinavia ukimiliki Tesla unaheshiiwa sembuse huko kwa kina adriz Wang'atwa na mbu?
Unafurahi upo utumwani, jitu jeusi unadhalilika kama mwehu ukifanya poor paying Jobs , Rudi kwenu ukalime Marass wewe
 
Back
Top Bottom