[emoji1787]Kwani forester haina sti?jaribu kuwa deep kabla ya ku-coment!
Akili kubwa[emoji3]Ikiwa DV, DX, DY ndo mpyaaa[emoji1787][emoji1787]
Ukiwa na gari namba A iliyotunzwa, ikianza kuchoka choka unachomoa injini, gearbox na takataka zingine halafu unaagiza gari kama hilo hilo let say M18 used from Japan unahamisha madude mapya mule kwenye namba A halafu unatangaza kuziuza zote.
Namba A bei M15 Namba Dz sijui EA bei M13 najua tu wapenda namba mtainunua namba D na kuiacha namba A mtakuwa mmemnunulia namba A injini na geabox na makorokoro kwa M5.
Daah!![emoji1787]Ivi mtu me unakili timam unatoaje pesa ununue funcargo kwel?
Akili mkichwa😅😅Daah!![emoji1787]
Sasa, wewe unae hata bicycle?Wivu tu...
Anayemiliki subaru ndo mwanaume sasa...lkn sio viforester vyenu.
Subaru ya maana wrx, sti ,gc8, n12 na makolokocho mengine ya maana.
Funny cargo imekukosea nini mkuu!?Akili mkichwa[emoji28][emoji28]
Hahahaha! Ndio maisha ya vijana wa kitanzania hayoHalafu wananing'iniza funguo kwenye ruksi, huku wamevaa visoksi na visendo.
Mavitambi makubwaa, hapo unamkuta Sinza kwa Remy anaenda kugonga bia.
Labda alphadDuh hata Forrester XT huitaki?
Halafu imetoka kwa dicksound mallTena usiombe ulutane nayo imefungwa kibuyu...[emoji85][emoji85]
Hahahahah hilo dude kumbe hadi kwa watasha wanalielewa
Hii dunia nzima inaeleweka! Nenda Australia ama SA uone zinavyokimbizaHahahahah hilo dude kumbe hadi kwa watasha wanalielewa
Ila Gx 100 zipo Poa sana. Halafu ukitaka kuituma popote pale inaenda. Hauna wasiwasiAaha wapi, gari ina addiction mbaya, natamba na Avante langu tu mjini, AC unaganda [emoji16][emoji23]
Uko hai?sifi leo wala kesho. ila nimejifunza kwenye maisha usikompliketi sana vitu. nakushauri furahia gari yeyote utakayobarikiwa nayo, na asiwepo mtu wa kukudharau kwasababu hajakununulia na hamuishi pamoja.
wapenda misifa utawajua tu hahaha... SMHPole sana...sasa Crown na IST zina utofauti gani? Zimejaa kama yeboyebo
Na ipo stable na comfortable hususan unapoendesha kwa mwendo safarini.Ila Gx 100 zipo Poa sana. Halafu ukitaka kuituma popote pale inaenda. Hauna wasiwasi
BOZO 😂Eff mofo.