Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, halafu wakifika kwenye gari wanapiga kwa sauti kubwa ule wimbo wa AMENO (Amapiano).Hahahaha! Ndio maisha ya vijana wa kitanzania hayo
Heri mwamvuliFunny cargo imekukosea nini mkuu!?
dah,sasa kwenye noah hapo umegusa sipo..
inategemea why umeuliza.
Kama unayo acha nipite kimya kimya.
Duuh!!Heri mwamvuli
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]huyu mwamba nilikua naishi nae tegeta.Kama ile ya RAMBO full mirangi ya ajabu na vitv kwenye vioo
Mnyama na nusuStarlet Glanza V,
Is my favorite sedan.
Hata ukiendesha gari ya aina gani,hata uvimbejeee, huyu mnyama mdogodogo namuelewa sana,amekaa kibich boy mnooooooooView attachment 2113923
Damn...!!!!....Not Sedan, it's a fucking hatchback..[emoji849][emoji849]Starlet Glanza V,
Is my favorite sedan.
Hata ukiendesha gari ya aina gani,hata uvimbejeee, huyu mnyama mdogodogo namuelewa sana,amekaa kibich boy mnooooooooView attachment 2113923
Kuna professor UDSM ni mzee kabisa...anaruka na alteza na inapiga mikelele balaaAltezza haijaonewa...hiyo ni gari ya wahuni..,sijawahi kuona kijana smart au mzee wa heshima amekaa humo..
Humo wanakaa wale vivuruge wa k vant na mirungi
nilikwambia sifi leo wala kesho, una masikio?Uko hai?
Nitakua nakuuliza hivi every other day just to make sure.nilikwambia sifi leo wala kesho, una masikio?
kuna siku hutakuwa hata na sauti ya kuuliza kwasababu utakuwa umekufa, okoka, mwamini Yesu upate uzima wa milele hapa duniani na mbinguni, bila hivyo upo very vulnerable na hauna uhakika wa kesho yako. MIMI nina uhakika wa kuishi kwasababu aliyeko ndani yangu ameshinda mauti na kuzimu, Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai, anazo funguo za mauti na mauti haikuweza kumshikilia, akafufuka kwa wafu na sasa yuko mbinguni.Nitakua nakuuliza hivi every other day just to make sure.
Of course kuna siku sitakua na sauti.kuna siku hutakuwa hata na sauti ya kuuliza kwasababu utakuwa umekufa, okoka, mwamini Yesu upate uzima wa milele hapa duniani na mbinguni, bila hivyo upo very vulnerable na hauna uhakika wa kesho yako. MIMI nina uhakika wa kuishi kwasababu aliyeko ndani yangu ameshinda mauti na kuzimu, Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai, anazo funguo za mauti na mauti haikuweza kumshikilia, akafufuka kwa wafu na sasa yuko mbinguni.
yeye ni Roho, he is omnipotent/all powerful, and omnipresent/everywhere he can even live in your heart, anaweza kuishi pia mioyoni mwa wote wanaompokea.
bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina lake. uzima wako upo mikononi mwa nani? and how have you prepared for your eternity? how do you plan to spend your eternity? in hell fire or eternal life with Jesus? Yesu Kristo ndiye ufufuo na uzima, mtu yeye amwaminiye ajapokufa atakuwa anaishi which means utaishi hapa duniani kwa miaka yako ya kutosha hadi pale Mungu atakapoamua na hata akiamua kukuchukua bado hujafa, roho yako i hai na utaishi milele pamoja naye.
tuambie wewe uzima wako upo mikononi mwa nani? upo mikononi mwa padre, mchungaji, waganga? roho za uzinzi zilizokutawala, au unategemea nini na nani katika maisha yako ili kuiona kesho? Mungu akusaidie. usije kukumbuka shuka kukiwa kumekucha. baada ya kifo ni hukumu, mwamini Yesu sasa kabla hujafa kwasababu kama hauna Yesu moyoni mwako kifo kina nguvu juu yako na unaweza ukafa siku yeyote na ukawa haujafa katika mikono salama. ukaenda motoni moja kwa moja.Blessed be the Name of the Lord forever and ever more!
mtu akiambiwa ukweli huwa anajitetea kuwa unamhukumu, ingekuwa kila kukemea uovu ni kuhukumu basi hata kanisani kwako wasingekuwa wanahubiri kwa kukemea uovu. katika ujumbe wangu kama kuna kitu kimekugusa unafikiri kitakusaidia kubadilisha maisha yako, badilika ungali na nafasi, usije juta. unaweza kuwasema walokole upendavyo lakini jua kwamba, ni kwa njia ya kulokoka/kuokoka tu ndiko kutakufanya uiepuke jehanum ya Moto. mauti ya pili (kutengwa na uso wa Mungu) ni dhahidi na itawahusu wote ambao wakiwa hai hawakuokoa na kwa wale waliookoka kama wataendelea kutenda dhambi hawataponywa kwa sababu wameingia kwenye dini ya kilokole bali matendo yao. Mungu akubariki.Of course kuna siku sitakua na sauti.
Na ni kweli pia roho za uzinzi zimenitawala. Actually umenipunja siyo uzinzi tu mimi ni every misery and evil you see in the streets.
Walokole mko fasta sana kuhukumu. Kukuuliza kama upo hai kumekupa mamlaka ya kusema nimetawaliwa na roho za uzinzi. Biblia imekataza hii kuhukumu mtu.
Anyway, upo sahihi hata hivyo so hainisumbui. Wakati nasema nitakua nakuuliza juu ya kua hai ni ili kuhakikisha kama upo siyo kwa ajili ya lengo lingine.
The day you stop answering nitaandika uzi wa tanzia
Sasa mimi kukuuliza kama upo hai na wewe kusema nina roho za uzinzi kuna uhusiano kweli?mtu akiambiwa ukweli huwa anajitetea kuwa unamhukumu, ingekuwa kila kukemea uovu ni kuhukumu basi hata kanisani kwako wasingekuwa wanahubiri kwa kukemea uovu. katika ujumbe wangu kama kuna kitu kimekugusa unafikiri kitakusaidia kubadilisha maisha yako, badilika ungali na nafasi, usije juta. unaweza kuwasema walokole upendavyo lakini jua kwamba, ni kwa njia ya kulokoka/kuokoka tu ndiko kutakufanya uiepuke jehanum ya Moto. mauti ya pili (kutengwa na uso wa Mungu) ni dhahidi na itawahusu wote ambao wakiwa hai hawakuokoa na kwa wale waliookoka kama wataendelea kutenda dhambi hawataponywa kwa sababu wameingia kwenye dini ya kilokole bali matendo yao. Mungu akubariki.
Huyo professor lazima cylinder moja ina misfire ndani ya ubongo wake...Kuna professor UDSM ni mzee kabisa...anaruka na alteza na inapiga mikelele balaa
Kwa hiyo na sisi wa Hiace, Coaster, Fusso, Canter tuungane kwenye hiyo list ya kirikuu au tusubiri yetu.Nyie ni marafiki wa trafiki