Na sisi wa van gurd je!!Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
inategemea why umeuliza.Na wanaosukuma fun cargo munawaonaje?
Itakua ya Police maana naionaga karibia kila siku pale osterbay police stationHivi ile Sienta ni ya nani?
Kama kumiliki IST na Crown ni Uhuni basi Wahuni ni wengi sana duniani akiwemo Papa wa Vatican na Prof Assad [emoji28][emoji28][emoji28]Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
my friend, ukikua, ukawa na familia kubwa kama sisi wenzako, majukumu ya kutosha kama sisi wenzako, utakuja kujifunza kwamba gari yeyote unayoibudu ni gari tu alimradi unarahisisha maisha yako. yote yanatumia mafuta, yote yanaweza kupata ajali, na yote yanaweza kukufikisha unakotaka kwenda. basi.Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Dont be too emotional. Relax usije kufa kwa magonjwa yadiyoambukiza. Ushauri mwingine soma kitu ukielewe bila kuweka emotions zako.my friend, ukikua, ukawa na familia kubwa kama sisi wenzako, majukumu ya kutosha kama sisi wenzako, utakuja kujifunza kwamba gari yeyote unayoibudu ni gari tu alimradi unarahisisha maisha yako. yote yanatumia mafuta, yote yanaweza kupata ajali, na yote yanaweza kukufikisha unakotaka kwenda. basi.
sifi leo wala kesho. ila nimejifunza kwenye maisha usikompliketi sana vitu. nakushauri furahia gari yeyote utakayobarikiwa nayo, na asiwepo mtu wa kukudharau kwasababu hajakununulia na hamuishi pamoja.Dont be too emotional. Relax usije kufa kwa magonjwa yadiyoambukiza. Ushauri mwingine soma kitu ukielewe bila kuweka emotions zako.
yepi?Pole sana Kwa uliyopitia.