Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Hili genge lenye roho mbaya dhidi ya Serikali ya sasa kila mtu mwenye akili timamu analijua. Wamejawa na uchu wa madaraka, rushwa na upendeleo.
Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.
Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu
Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.
Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu