Kuna genge lenye roho mbaya ndani ya CCM

Kuna genge lenye roho mbaya ndani ya CCM

Nafikiri kila mmoja ana haki ya kufikiri aonavyo yeye pasipo kumuathiri mwingine katika hoja zinalolihusu taifa. Tatizo kubwa ni kumuona mwenye mawazo mbadala kama msaliti! Kamwe haitawezekana wote kua na mawazo yanayofanana. TUVUMILIANE
Magu mbona mliufyata
 
Hili genge lenye roho mbaya dhidi ya Serikali ya sasa kila mtu mwenye akili timamu analijua. Wamejawa na uchu wa madaraka, rushwa na upendeleo.

Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.

Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu
Wote wana roho mbaya acha wafu wazikane
 
Tunahtaji Uhuru wa mawazo , alaf Bunge ni mhimili , ni jukumu la mkuu wa Bunge kwenda against na serikali Kwa maslahi mapana ya Taifa ....Twende na ndugai 2025

We unayemuunga mkono ndugai ni mwehu vile vile huyo ndugai kama ni msema kweli mbona hakusema kuhusu deni la taifa wakati magufuli akiwa hai??

Kaa ukijua tu kwamba SSH alipoingia madarakani alishakuta deni la taifa ni trilioni 68 yaan ni karibia kabisa 70, mbona alikaa kimya kipindi chote?

Magufuli ndiye rais aliyekopa sana pengine kuliko wote maana wakat pia anachukua nchi deni lilikuwa trilion 40 tu anaondoka akiw ameongeza zaid ya trilion 20 tena kwa miaka 5[emoji35][emoji35]

Hivyo ndugai kama kichwa yake ipo sawa alipaswa aongee kipind kile mzee "mtemi" akiwa hai, kuongea ongea sasa ni kutuvurugia utawala na makelele yake....!

N.B
Magufuli alikopa sana ila sema utawala wake ulijaa kupumbaza watu ktk vitu vingi hata vya msingi ilikuw ni kuficha ficha tu, tumedanganywa san kuhus kutumia mapato ya ndani wakat hali halis haikuw hivyo!
 
Hili genge lenye roho mbaya dhidi ya Serikali ya sasa kila mtu mwenye akili timamu analijua. Wamejawa na uchu wa madaraka, rushwa na upendeleo.

Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.

Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu
NB: Bunge ni mhimili unaotofautiana na serikali. ie. Bunge na Serikali ni mihimili miwili tofauti.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hili genge lenye roho mbaya dhidi ya Serikali ya sasa kila mtu mwenye akili timamu analijua. Wamejawa na uchu wa madaraka, rushwa na upendeleo.

Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.

Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu
Genge lenye roho mbaya ni lile linalomkataza spika kutoa maoni yake
 
Tunahtaji Uhuru wa mawazo , alaf Bunge ni mhimili , ni jukumu la mkuu wa Bunge kwenda against na serikali Kwa maslahi mapana ya Taifa ....Twende na ndugai 2025
My friend, Ndugai 2025 is a Joke. A very serious Joke.
 
Hili genge lenye roho mbaya dhidi ya Serikali ya sasa kila mtu mwenye akili timamu analijua. Wamejawa na uchu wa madaraka, rushwa na upendeleo.

Ni ndumi la kuwili, wana ndimi mbili ni watu wa hatari sana. Wengine wamejificha wamekaa kimya kumbe wanawaunga mko waliojitoa mhanga kujitokeza.

Hili ni genge la kihaini haiwezekani wewe umo kwenye serikali hiyo hiyo unapingana nayo hadharani.Ni heri ya wapinzani kutoka vyama vingine kuliko kuliko upinzani wa kupinga serikali yako inayotokona na chama chako ni unafiki wa hali ya juu
Unateseka ukiwa wapi ndugu yangu?

Wacha watu wasahihishane. Kupongezana huku mkizama shimoni si vizuri.
 
We unayemuunga mkono ndugai ni mwehu vile vile huyo ndugai kama ni msema kweli mbona hakusema kuhusu deni la taifa wakati magufuli akiwa hai??

Kaa ukijua tu kwamba SSH alipoingia madarakani alishakuta deni la taifa ni trilioni 68 yaan ni karibia kabisa 70, mbona alikaa kimya kipindi chote?

Magufuli ndiye rais aliyekopa sana pengine kuliko wote maana wakat pia anachukua nchi deni lilikuwa trilion 40 tu anaondoka akiw ameongeza zaid ya trilion 20 tena kwa miaka 5[emoji35][emoji35]

Hivyo ndugai kama kichwa yake ipo sawa alipaswa aongee kipind kile mzee "mtemi" akiwa hai, kuongea ongea sasa ni kutuvurugia utawala na makelele yake....!

N.B
Magufuli alikopa sana ila sema utawala wake ulijaa kupumbaza watu ktk vitu vingi hata vya msingi ilikuw ni kuficha ficha tu, tumedanganywa san kuhus kutumia mapato ya ndani wakat hali halis haikuw hivyo!
Ukweli tuuseme, raisi aliyekopa sana ni kikwete.
 
Mama azidishe ukali kwa vitendo kidogo tu sio kwa maneno mambo yatakaa sawa
 
Back
Top Bottom