Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Hivi jamani hawa wanaosema jpm alisimamia maslahi ya wanyonge ni wanyonge gani hao? Mbona wa Yonge halisi tumepigika mtaani tangu tu jpm aingie madarakani. Angalau Sasa hivi kipindi hiki ndo tunafufuka tena. Au hao wanyonge mnaowazungumzia ni akina makonda tu?
 
Kwa kumlinganisha na marehemu, bora tu mama aendelee, sitaki kusikia habari za yule dhalimu.
Mungu ametutendea mema sana kutusaidia kumweka kando nduli
 
Mama Samia Mungu amfungue macho na roho.

Yaani kosa lake la kwanza ni pale alipojitutumua kuanza kuonesha yeye ni rais baada ya kifo cha Dkt Magufuli. Hakuwa na strategists wa kumshauri cha kufanya. Hakupaswa kabisa kipindi hicho kutoa hotuba ndefu, alipaswa atulie kama mwezi mzima na kusema nchi iko salama kila kitu kipo sawa.

Baada ya hapo angeona wanao mdharau na angewajua wabaya wake kutokana na ukimya. Baada ya hapo angekunjua makucha kwa kuteua sura toafuti kabisa ambazo hazijazooeleka. Na huyo mzee wa busara aliyemdanganya wabaya wake ni CCM hakupaswa kumuanini kwa sababu hakukuwa na haja ya kutengeneza maadui kama alivyofanya kwa sasa.

Hivyo kwa sasa mpaka viongozi wanamdhihaki, tena hawana imani naye ila wanalinda vibarua vyao
Watu wa usalama ndio humpa taarifa muhimu ili nchi iendelee kuwa salama. Pia wenyewe wanahitaji usalama ili nao wasipoteze nafasi zao. Kwa ujumla nchi iko na itakuwa salama bila kujali hizo figisu na fitna.
Mama anajua vizuri tu pamoja na specilations nyiiiingii.
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Okokkkoooooiooooo
 
Kwa KATIBA hii, hao jamaa waambieni wakanywe supu ya Kmoto.
 
Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba,
Kwani ni uongo?. Hivi ikitokea mtu ukawa ni mshamba, ukaambiwa ukweli ni mshamba ni umetukanwa?. Mimi ni Msukuma na kiukweli kabisa sisi Wasukuma ni washamba sana, na hata mimi ni mshamba Sana na humu JF kila mtu anajua jinsi Wasukuma tulivyo washamba, hivyo kuambiwa ukweli ndio kutukanwa?.
P
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Muuane tu Wauaji nyie.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Magufuli hajawahi kutetea maslahi ya wanyonge alitetea maslahi ya akina sabaya, polepole, makonda na wapuuzi wengine
 
Kwani ni uongo?. Hivi ikitokea mtu ukawa ni mshamba, ukaambiwa ukweli ni mshamba ni umetukanwa?. Mimi ni Msukuma na kiukweli kabisa sisi Wasukuma ni washamba sana, na hata mimi ni mshamba Sana na humu JF kila mtu anajua jinsi Wasukuma tulivyo washamba, hivyo kuambiwa ukweli ndio kutukanwa?.
P
Hapana. Wasukuma sio washamba bali ni watu '' humble'', kama nimeeleweka. Bahati mbaya tafsiri ya neno ''mshamba'' kwa baadhi yetu, ni ile hali ya kutokuwa ''mjanjamjamja au mswahiliswahili''. Sijui kama nimeeleweka kama au nami ni mshamba.
 
Hakuna mtu anayejitambua atashiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi chini ya tume hii na katiba hii.

Kujitambua kumeanza lini hasa? Tangu nchi hii ilipopata uhuru, watu (wakiwemo viongozi na wanachama wa sasa wa CDM) wamekuwa wakishiriki hizi chaguzi.
 
Kuajiri wazanzibar hiyo kitu ndio itamletea kashfa, ameleta walimu huku bara kibao kutoka Zanzibar.
 
Lakini Ndio wazalishaji wakuu!!hasa chakula haiwezi ikapita siku hujala jasho la msukuma!!wanastahili kuheshimiwa Hawa jamaa!!mimi naishi nao huku naziona juhudi zao Hawa jamaa!!!
Kwani ni uongo?. Hivi ikitokea mtu ukawa ni mshamba, ukaambiwa ukweli ni mshamba ni umetukanwa?. Mimi ni Msukuma na kiukweli kabisa sisi Wasukuma ni washamba sana, na hata mimi ni mshamba Sana na humu JF kila mtu anajua jinsi Wasukuma tulivyo washamba, hivyo kuambiwa ukweli ndio kutukanwa?.
P
 
Kujitambua kumeanza lini hasa? Tangu nchi hii ilipopata uhuru, watu (wakiwemo viongozi na wanachama wa sasa wa CDM) wamekuwa wakishiriki hizi chaguzi.
Sio sasa, kama ulifuatilia vizuri uchaguzi wa 2020 wapiga kura walikuwa wachache sana, na watakuwa wachache zaidi kwenye chaguzi zijazo. Fuatilia chaguzi za marudio zinazojitokeza utaelewa vizuri.
 
Sio sasa, kama ulifuatilia vizuri uchaguzi wa 2020 wapiga kura walikuwa wachache sana, na watakuwa wachache zaidi kwenye chaguzi zijazo. Fuatilia chaguzi za marudio zinazojitokeza utaelewa vizuri.

Unatumia takwimu gani? Zilezile za matokeo ambayo CDM hawakuyakubali?
 
Unatumia takwimu gani? Zilezile za matokeo ambayo CDM hawakuyakubali?

Toka lini nikatuma takwimu za kupika, naongeleq Nilichokiona kwa macho. Mfano halisi ni kituo changu cha kupigia kura, wapiga kura walipaswa kuwa 420+, lakini wapiga kura hawakufika 150, ila Magufuli alitangazwa kupata kura 393, lisu kura 2, mbunge na diwani walipata kura 300+@, jambo ambalo halikuwa kweli. Sasa katika mazingira hayo natumia vipi hizo takwimu?
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Umeandika upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom