Kuna haja gani ya kusoma elimu ya juu wakati unakuwa mzigo kwa wazazi na serikali?

Kuna haja gani ya kusoma elimu ya juu wakati unakuwa mzigo kwa wazazi na serikali?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kijana unatumia Miaka 17 kutafuta elimu na kujiongezea maarifa lakini baada ya kumaliza muda huo unasubiri serikali ikupe ajira.

Wewe ambaye unasubiri kuajiriwa nakuuliza je hukuwa na pan B? Kama huna elimu uliyopata imekusaidia nini?

Wale uliotoka nao darasa 1 wakaishia katikati leo wana plan B unawaonaje?

Je, bado unaamini elimu ni mtaji au maarifa ndio msingi? Acheni kuililia serikali kwenye swala la ajira sababu ajira ni chache tumieni elimu yenu kujikwamua na maisha.
 
Kama una miaka 2 nyumbani au mtaani unasubiri ajira jizomee mwenyewe kwa uzembe. Pambana mtaani ajira itakukutia njiani,acha uzembe kijana
 
Ukiachana na mambo ya ajira, Elimu ina umuhimu saana kwenye maisha ya kawaida.
Huwezi fananisha mtu Aliesoma atleast hata kufikia elimu ya Form 4 na mtu ambae kaishia darasa la 7 au hata ambae hajasoma kabisa.
Mtu aliesoma anakua Civiilized (kastaarabika), anakua na uvumilivu maana Mpaka kumaliza hiyo elimu alivumilia mambo mengi, anaona fursa nyingi, atakua na uwezo wa kupata knowledge tofauti na alichosomea ambapo vitu hivi huwezi pata mtu ambae hajasoma kabisa.
 
Ukiachana na mambo ya ajira, Elimu ina umuhimu saana kwenye maisha ya kawaida.
Huwezi fananisha mtu Aliesoma atleast hata kufikia elimu ya Form 4 na mtu ambae kaishia darasa la 7 au hata ambae hajasoma kabisa.
Mtu aliesoma anakua Civiilized (kastaarabika), anakua na uvumilivu maana Mpaka kumaliza hiyo elimu alivumilia mambo mengi, anaona fursa nyingi, atakua na uwezo wa kupata knowledge tofauti na alichosomea ambapo vitu hivi huwezi pata mtu ambae hajasoma kabisa.
Faida nazungumzia, hata kabla ya shule kulikuwa na ustaarabu,na kuna wenye elimu bado sio wastaarabu
 
Kama una miaka 2 nyumbani au mtaani unasubiri ajira jizomee mwenyewe kwa uzembe. Pambana mtaani ajira itakukutia njiani,acha uzembe kijana
una uhakika gani ya kwamba vijana hawajishughulishi?
 
Ukiachana na mambo ya ajira, Elimu ina umuhimu saana kwenye maisha ya kawaida.
Huwezi fananisha mtu Aliesoma atleast hata kufikia elimu ya Form 4 na mtu ambae kaishia darasa la 7 au hata ambae hajasoma kabisa.
Mtu aliesoma anakua Civiilized (kastaarabika), anakua na uvumilivu maana Mpaka kumaliza hiyo elimu alivumilia mambo mengi, anaona fursa nyingi, atakua na uwezo wa kupata knowledge tofauti na alichosomea ambapo vitu hivi huwezi pata mtu ambae hajasoma kabisa.
Af mwishi wa siku unakua mzigo sasa hayo yote yanakufaidia nini??
 
Sikiza wewe acha ujinga. Kabla hujalaumu mtu kumbuka mifumo yetu ya familia na serikali ndio inayotufikisha hapa.

Mzazi anampeleka tu mwanae shule kuanzia primo mpaka uni analipa ada tu. Ulitaka mtoto akatae?

Usilaumu mtu kwa kusoma na kushindwa kutoboa kimaisha. Elimu ni muhimu japo haina guarantee kuwa ukisoma ndio utatoboa.

Usidharau elimu wewe angalia akina Msukuma na Magufuli wana PhD za kununua.
 
Sikiza wewe acha ujinga. Kabla hujalaumu mtu kumbuka mifumo yetu ya familia na serikali ndio inayotufikisha hapa.

Mzazi anampeleka tu mwanae shule kuanzia primo mpaka uni analipa ada tu. Ulitaka mtoto akatae?

Usilaumu mtu kwa kusoma na kushindwa kutoboa kimaisha. Elimu ni muhimu japo haina guarantee kuwa ukisoma ndio utatoboa.

Usidharau elimu wewe angalia akina Msukuma na Magufuli wana PhD za kununua.
Mtoto ukishajua na kuona giza mbele amua tu kula cross ukimaliza 4 ukafaulu vizuri nenda chuo cha ufundi, hakuna fundi aliewahi kukaa mwaka bila ajira
 
Mtoto ukishajua na kuona giza mbele amua tu kula cross ukimaliza 4 ukafaulu vizuri nenda chuo cha ufundi, hakuna fundi aliewahi kukaa mwaka bila ajira
Nikweli mkuu, hata sisi darasa la 7 tulioamua kuingia vyuo vya ufundi VETA tunamshukuru mungu mkate unaingia mara moja moja hata kama ni kwa mda wa miezi miwili
 
Nawashauri vijana wenzangu unapomaliza elimu ya chuo kikuu basi wajaribu kwenda kusoma VETA elimu ya ufundi kidogo vipesa vya sabuni havikupigi chenga kuliko kukaa kusubiri kuwa mzigo kwa wenzako, lakini pia selikari itoe vipaumbele kwa vijana kwa kutoa vizuizi mbalimbari Mfano TRA, na vingine ili kijana apate nafasi ya kujiajiri,
 
Malalamiko yamekuwa mengi mno na mtaani tuko nao, wanasubiri kuajiriwa
Ni rahisi sana kusema au kutoa mtazamo wa kitu ambacho yawezekana hujapitia. Hii ni dalili ya kuwa hujafika ambako wamefika hao. Hao wanaolalamika sio kama wamependa iwe hivyo, Tatizo kubwa ni mfumo ya elimu iliowekwa ambayo haimuandai kijana kuja kujiajili, tena katika elimu ya juu watu wanafundishwa enterpreneurship (ujasiliamali) mkufunzi anayefundisha hana hata kibanda cha pipi cha mfano, wala hajawahi kuwa na business venture yoyote. Na mbaya wanafundisha kukomoa aonekane yeye ni bingwa wa kufelisha watu(Sup), matokeo yake mwanafunzi anasoma afaulu mtihani tena kwa kukariri. Ndio maana hawa jamaa wakitoka wanakuwa na mentality ya kuajiliwa,. Mtaani akirudi ndio anabaki kuungaunga,. Serikali ibadilishe mifumo ya Elimu, ikiwezekana Vocational training (VETA) iwe ya lazima then mambo ya chuo ni ya ziada.
 
Back
Top Bottom