Kuna haja gani ya kusoma elimu ya juu wakati unakuwa mzigo kwa wazazi na serikali?

Kuna haja gani ya kusoma elimu ya juu wakati unakuwa mzigo kwa wazazi na serikali?

Nawashauri vijana wenzangu unapomaliza elimu ya chuo kikuu basi wajaribu kwenda kusoma VETA elimu ya ufundi kidogo vipesa vya sabuni havikupigi chenga kuliko kukaa kusubiri kuwa mzigo kwa wenzako, lakini pia selikari itoe vipaumbele kwa vijana kwa kutoa vizuizi mbalimbari Mfano TRA, na vingine ili kijana apate nafasi ya kujiajiri,
Siyo VETA tu mkuu. Kuna vyuo vingi tu private vilivyosajiliwa na NACTE vinatoa short and long courses zinazokuwezesha kujiajiri. Mfano masuala ya Graphics and Web designing, CCTV etc. Sema napo kunahitajika pesa ya kusoma Mkuu. Nadhani hapo ndipo changamoto ilipo. Kumwambia mtu akajifunze hizo short courses kwa 250K - 600K huku yupo mtaani bila kazi inaweza kuwa changamoto. Ila kama mtu anaweza kulipia gharama hizo ni vizuri akajifunza. Mie napanga kujifunza hizo short courses. Maisha ni kujipanga kwa kuyakabili kwa kila namna hakuna kuacha gap kabisa.
 
Maisha hayana formula, kuna watu wametoboa kupitia elimu (kuajiriwa) na kuna watu wametoboa kupitia kujiajiri

Kuna waliosema elimu ila wanakuta na kuna wasiosoma wanakuta, bora wangesoma iliwalipwe hata 350k

Kikubwa tuliotoboa kwa kujiajiri tuwaoneshe njia waliosoma na hawana ajira, ukizingatia elimu yote ni nadharia tupu na haimuandai graduates kujiajiri

Sasa kama unaona unaweza ukawasaidia vijana waliosoma basi fanya hivyo,

Lakini shida ya wakongo,, mtu akijiajiri na kupata vihela vya kula tena wengine hela ya kula majanga, wanaanza kuwakejeli waliosoma na kuwaona wajinga

Hivi hatujengi bali tunabomoa na kuzidisha chuki juu ya waliosoma na wàsiosoma
 
Siyo VETA tu mkuu. Kuna vyuo vingi tu private vilivyosajiliwa na NACTE vinatoa short and long courses zinazokuwezesha kujiajiri. Mfano masuala ya Graphics and Web designing, CCTV etc. Sema napo kunahitajika pesa ya kusoma Mkuu. Nadhani hapo ndipo changamoto ilipo. Kumwambia mtu akajifunze hizo short courses kwa 250K - 600K huku yupo mtaani bila kazi inaweza kuwa changamoto. Ila kama mtu anaweza kulipia gharama hizo ni vizuri akajifunza. Mie napanga kujifunza hizo short courses. Maisha ni kujipanga kwa kuyakabili kwa kila namna hakuna kuacha gap kabisa.
kama mtu ameweza kulipiwa ada akiwa primary privat school atashindwaje kupata 250k ya kusoma coz inayomuingizia kipata kwa mda mfupi, Pia wakiwa vyuo vikuu huwa hawaangalii maisha yajayo wao wanaishi leo kwa kutafuna boom na bumaraya bwao bwa chuoni huku hakijiona wao ni wakali na maisha wameyapatua,
 
kama mtu ameweza kulipiwa ada akiwa primary privat school atashindwaje kupata 250k ya kusoma coz inayomuingizia kipata kwa mda mfupi, Pia wakiwa vyuo vikuu huwa hawaangalii maisha yajayo wao wanaishi leo kwa kutafuna boom na bumaraya bwao bwa chuoni huku hakijiona wao ni wakali na maisha wameyapatua,
Wewe ni muha?😁😁😁
 
Nawashauri vijana wenzangu unapomaliza elimu ya chuo kikuu basi wajaribu kwenda kusoma VETA elimu ya ufundi kidogo vipesa vya sabuni havikupigi chenga kuliko kukaa kusubiri kuwa mzigo kwa wenzako, lakini pia selikari itoe vipaumbele kwa vijana kwa kutoa vizuizi mbalimbari Mfano TRA, na vingine ili kijana apate nafasi ya kujiajiri,
Wazo lako nzuri sana. Mimi napendekeza kidato cha nne wote waende kusoma na kujifunza ufundi stadi VETA. Kabla ya kuendelea na kidato cha tano au vyuo mbalimbali.
 
Ukiachana na mambo ya ajira, Elimu ina umuhimu saana kwenye maisha ya kawaida.
Huwezi fananisha mtu Aliesoma atleast hata kufikia elimu ya Form 4 na mtu ambae kaishia darasa la 7 au hata ambae hajasoma kabisa.
Mtu aliesoma anakua Civiilized (kastaarabika), anakua na uvumilivu maana Mpaka kumaliza hiyo elimu alivumilia mambo mengi, anaona fursa nyingi, atakua na uwezo wa kupata knowledge tofauti na alichosomea ambapo vitu hivi huwezi pata mtu ambae hajasoma kabisa.
Civilized kivipi ? Mbona wengi wao ndio Wala rushwa wakubwa !!
 
Maisha hayana formula, kuna watu wametoboa kupitia elimu (kuajiriwa) na kuna watu wametoboa kupitia kujiajiri

Kuna waliosema elimu ila wanakuta na kuna wasiosoma wanakuta, bora wangesoma iliwalipwe hata 350k

Kikubwa tuliotoboa kwa kujiajiri tuwaoneshe njia waliosoma na hawana ajira, ukizingatia elimu yote ni nadharia tupu na haimuandai graduates kujiajiri

Sasa kama unaona unaweza ukawasaidia vijana waliosoma basi fanya hivyo,

Lakini shida ya wakongo,, mtu akijiajiri na kupata vihela vya kula tena wengine hela ya kula majanga, wanaanza kuwakejeli waliosoma na kuwaona wajinga

Hivi hatujengi bali tunabomoa na kuzidisha chuki juu ya waliosoma na wàsiosoma
Umeandika point
 
Kijana unatumia Miaka 17 kutafuta elimu na kujiongezea maarifa lakini baada ya kumaliza muda huo unasubiri serikali ikupe ajira.

Wewe ambaye unasubiri kuajiriwa nakuuliza je hukuwa na pan B? Kama huna elimu uliyopata imekusaidia nini?

Wale uliotoka nao darasa 1 wakaishia katikati leo wana plan B unawaonaje?

Je, bado unaamini elimu ni mtaji au maarifa ndio msingi? Acheni kuililia serikali kwenye swala la ajira sababu ajira ni chache tumieni elimu yenu kujikwamua na maisha.
We ndio maana ulishindwa kufikia hiyo elimu ya juu. Uelewa wako ni mdogo km **** ya mjusi
 
Kijana unatumia Miaka 17 kutafuta elimu na kujiongezea maarifa lakini baada ya kumaliza muda huo unasubiri serikali ikupe ajira.

Wewe ambaye unasubiri kuajiriwa nakuuliza je hukuwa na pan B? Kama huna elimu uliyopata imekusaidia nini?

Wale uliotoka nao darasa 1 wakaishia katikati leo wana plan B unawaonaje?

Je, bado unaamini elimu ni mtaji au maarifa ndio msingi? Acheni kuililia serikali kwenye swala la ajira sababu ajira ni chache tumieni elimu yenu kujikwamua na maisha.
Elimu ndogo ulinayo haijakusaidia kujua role of education in life
 
Ushauri mzuri sana huu
Nawashauri vijana wenzangu unapomaliza elimu ya chuo kikuu basi wajaribu kwenda kusoma VETA elimu ya ufundi kidogo vipesa vya sabuni havikupigi chenga kuliko kukaa kusubiri kuwa mzigo kwa wenzako, lakini pia selikari itoe vipaumbele kwa vijana kwa kutoa vizuizi mbalimbari Mfano TRA, na vingine ili kijana apate nafasi ya kujiajiri,
 
Serikali ibadilishe mifumo ya Elimu, ikiwezekana Vocational training (VETA) iwe ya lazima then mambo ya chuo ni ya ziada
Yeah ni bora ingebadili mfumo ukifika form 4 uchague au kuwe na ulazima wa kwenda vyuo vya ufundi na serikali iweke mkazo sana huko
 
Back
Top Bottom